Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Kama kweli mwanasheria wa Fei anaamini hii taarifa ni ya uongo, aseme amechukua hatua gani za kisheria kwa hili gazeti, sio anakuja na jibu jepesi tu halafu utopolo wanaamini.

Watu wana vyanzo vyao vya taarifa hawawezi kuandika uongo tu for the sake of it, hata wao wanajua wanabanwa na sheria na lazima walinde hadhi ya chombo chao, tena awe makini kuchafua media za watu, asije kushtakiwa yeye.
Anaficha tu ila ukweli ndio uwo Fei mpaka muda huu yupo Avic town
 
Salaam..!!

Kama tujuavyo lile sakata la Fei na Yanga kuhusu suala la mkataba namna lilivyoendeshwa kwa magumashi na TFF kwa kushirikiana na wanasiasa, na jinsi maamuzi ya kesi ile yalivyokuwa ya ajabu, baada ya TFF kudai Fei ni mchezaji wa Yanga Sc bila kusema amekiuka vipengele gani kwenye mkataba wake.

Sasa taarifa zilizopo rasmi ni kwamba, Fei Toto amesaini mkataba mpya na utopolo wenye thamani ya milioni 350 za kitanzaniaa ili kurejea jangwani, mpaka kufikia hapa, inaonesha wazi, Fei ndie alikuwa na haki kwenye lile sakata.

Kwasababu, huwezi kwa akili ya kawaida ukamuongezea mkataba mpya muajiriwa wako aliyevunja mkataba wa awali kinyume cha sheria, kitendo cha uto kumuongezea Fei mkataba kinaonesha mchezaji ndie alikuwa na haki, na bado ni tegemeo kwao, ndio maana Nabi kila siku alikuwa akihangaika kupiga simu za kubembeleza kwa mchezaji.

Mwisho nitoe wito kwa wanasheria wetu wa makaratasi hapa JF, haya mambo ya kisheria siku zote sio ya kukariri kama hesabu za darasani, eti kilichopo kwenye mkataba wako, lazima kiwepo kwenye mkataba wa mwenzio, huko ni kujidanganya, kisheria kila mkataba unaamuliwa na vipengele vilivyopo kwenye mkataba husika, sio nje ya hapo.

View attachment 2518937
Nyie kweli mbumbumbu, Mara zote Yanga wamesisitiza Fei ni mchezaji wao na kwamba arudi kambini. Na viongozi walisisitiza mazungumzo yalikuwa yanaendelea. Nyie endeleeni na kelele zenu ilab
 
Salaam..!!

Kama tujuavyo lile sakata la Fei na Yanga kuhusu suala la mkataba namna lilivyoendeshwa kwa magumashi na TFF kwa kushirikiana na wanasiasa, na jinsi maamuzi ya kesi ile yalivyokuwa ya ajabu, baada ya TFF kudai Fei ni mchezaji wa Yanga Sc bila kusema amekiuka vipengele gani kwenye mkataba wake.

Sasa taarifa zilizopo rasmi ni kwamba, Fei Toto amesaini mkataba mpya na utopolo wenye thamani ya milioni 350 za kitanzaniaa ili kurejea jangwani, mpaka kufikia hapa, inaonesha wazi, Fei ndie alikuwa na haki kwenye lile sakata.

Kwasababu, huwezi kwa akili ya kawaida ukamuongezea mkataba mpya muajiriwa wako aliyevunja mkataba wa awali kinyume cha sheria, kitendo cha uto kumuongezea Fei mkataba kinaonesha mchezaji ndie alikuwa na haki, na bado ni tegemeo kwao, ndio maana Nabi kila siku alikuwa akihangaika kupiga simu za kubembeleza kwa mchezaji.

Mwisho nitoe wito kwa wanasheria wetu wa makaratasi hapa JF, haya mambo ya kisheria siku zote sio ya kukariri kama hesabu za darasani, eti kilichopo kwenye mkataba wako, lazima kiwepo kwenye mkataba wa mwenzio, huko ni kujidanganya, kisheria kila mkataba unaamuliwa na vipengele vilivyopo kwenye mkataba husika, sio nje ya hapo.

View attachment 2518937
@Tate Mkuu unaitwa huku mkuu
 
Unajua kujipa moyo, kila siku nakuona unavyojitahidi, eti haliwezi kuwa rahisi, kama vile unajua wanachofanya viongozi wako nyuma ya pazia[emoji1787][emoji1787]
Najipa moyo kwa lipi? Wakati uhalisia unajulikana
 
Mimi ni shabiki wa yanga ,nilitamani sana Fei arudi wanaosema No fei no problem nilikuwa nawaona ni wapuuzi Fei aliisaidia yanga pakubwa sana tulichotaka kumfanyia akikuwa kizuri tumechukua ubingwa Unbeaten Fei akiwa kati dimbani leo hii tuje tumthamini Mgeni kuliko wa kwetu na kingiñe TFF ni wapuuzi ili swala la FEI wao walitakiwa kuwa kati kati kama washauri wa kufanikisha kupatikana suruhu, tofauti na wao walivyolichukulia na kumkandamiza Fei mchezaji wao wa timu ya Taifa.
Wewe unajielewa, hongera sana.
 
Nyie kweli mbumbumbu, Mara zote Yanga wamesisitiza Fei ni mchezaji wao na kwamba arudi kambini. Na viongozi walisisitiza mazungumzo yalikuwa yanaendelea. Nyie endeleeni na kelele zenu ilab
Fei alikuwa zenji anakula upepo, kwanini mkamfuata huko kubembeleza kama mlikuwa na haki? naona hauna shukrani kwa TFF waliowabeba kwenye hii issue..

Kama Fei alikiuka makubaliano kimkataba kwanini hamkumpeleka kunako stahiki, ila mkaishia kwenda kwao kubembeleza?
 
Mimi ni shabiki wa yanga ,nilitamani sana Fei arudi wanaosema No fei no problem nilikuwa nawaona ni wapuuzi Fei aliisaidia yanga pakubwa sana tulichotaka kumfanyia akikuwa kizuri tumechukua ubingwa Unbeaten Fei akiwa kati dimbani leo hii tuje tumthamini Mgeni kuliko wa kwetu na kingiñe TFF ni wapuuzi ili swala la FEI wao walitakiwa kuwa kati kati kama washauri wa kufanikisha kupatikana suruhu, tofauti na wao walivyolichukulia na kumkandamiza Fei mchezaji wao wa timu ya Taifa.
Amekandamizwa na nani alikua halipwi? ni wapi Yanga walimpunja malipo yake?
 
Fei alikuwa zenji anakula upepo, kwanini mkamfuata huko kubembeleza kama mlikuwa na haki? naona hauna shukrani kwa TFF waliowabeba kwenye hii issue..

Kama Fei alikiuka makubaliano kimkataba kwanini hamkumpeleka kunako stahiki, ila mkaishia kwenda kwao kubembeleza?
Si mnampenda ngoja aje awagonge tena April hii
 
Back
Top Bottom