denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
- Thread starter
- #121
Hamjui sheria utopolo, kunyoosha nini..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli Yanga imejua kuwanyoosha. Hamuwazi tena makombe sasahivi, anyway kila mtu abembeleze wachezaji wake kama anaona inafaa.. lini nanyie mtaenda kumbembeleza mzungu[emoji1787][emoji1787] ili arudi??