Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tatizo lenu mna ujinga kichwani, ni wapi gazeti lilisema imekutwa pesa ndani? Gazeti limeripoti kushikiliwa kwa DG wa bandari na sio kukutwa ndani pesaWatuambie zile taarifa gazeti walizipata wapi? Au Kama mmezigawana mtuambie
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
DG wa Bandari anapokea 18 million baada ya kodi?Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
Kama alivyokuwa mwendazake kuwachukia matajiri na kuwafanyia 'umafia' kwa kupora walichojitafutia.!Kumchukia mwenye pesa hakufanyi wewe uwe na pesa. Watanzania tutafute pesa tuache makasiriko yasiyo na msingi...
Acha upumbavu kijanaUpuuzi ni pale mwizi anapoamua kuwakingia kifua wezi wenzake
Dola elfu 3, na milion moja na nusu tu πBinamu unasema ushahidi ushapotezwa π π
Wamekiri $1000 tu jamani na madafu TShs.
Everyday is Saturday................................π
Malizieni muda wenu, dk ya 89 hii.Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi. Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
Hela mbuzi kabisa hizo mm nipo nanywea beer hapaYes wamekuta dola 3000 na Tsh 1,500,000/=
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Polisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekata 1.6 m $?
Polisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekamata 1.6 m $?
Asante mkuu kwa kunisahihisha. π πDola elfu 3, na milion moja na nusu tu π
Tukizitzfuta hatuzipati maana zipo ndani ya nyumba za watuWatanzania tutafute pesa tuache makasiriko yasiyo na msingi.
Milioni 18 baada ya kodi ni mshahara wa kawaida sana tena sanaDG wa Bandari anapokea 18 million baada ya kodi?
Amandla...
Hahaha tumeelewa na tumeona picha ya "SISI TIVII".
Pesa ipo nyingi mtaani, uwezi ipata kwa kushinda unapiga spana JF.Tukizitzfuta hatuzipati maana zipo ndani ya nyumba za watu