Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza

Mchezo ushafanyika stuka wewe.
 
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
DG wa Bandari anapokea 18 million baada ya kodi?

Amandla...
 
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi.
Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza

Polisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekamata 1.6 m $?
 
Mimi tu ambae Sina wadhifa huwezi kukosa mil 1 ndani kwaangu. Huyo DG wa bandari anaanzaje kukosa mil 9 ndani? Hiyo mil 9 ni nusu ya mshahara wake kwa mwezi. Inawezekana kapiga hela nyingi, Ila hiyo taaarifa sijui kakutwa nazo ndani ni UONGO uliopitiliza
Malizieni muda wenu, dk ya 89 hii.
 
Huyo mkuu kamwaga petrol ktk kuzima moto kwa ufafanuzi huo.
 
Polisi tu wameiba nyama ya ng'ombe na kuchoma "MAKWASUKWASU" ndio waje kusema wamekamata 1.6 m $?
- KumbukiziMTAFUTANO.jpg
 
Back
Top Bottom