Sakata la Zumaridi na namna alivyokamatwa na polisi ni kichefuchefu, sheria haikuzingatiwa

Kukamatwa ni hoja? Ngoja waende mahakamani ndiyo utajua kwamba wanatumia rasilimali za taifa efficiently? Ndiyo yale ya TAKUKURU unakamata na kufungua kesi Mia moja mwisho wa siku unashinda tano. Kumbuka hizo 95 ni fedha ya umma imeketekea hapo.
NDIYO maana nikasema SHERIA IKIFUATWA Hata DPP wanampunguzia Mzigo! Huko mahakamani Upande wa utetezi unaelezaga ushahidi wa kuchekesha! Mfano hapo shahidi akiombwa aieleze jamhuri ushahid wa kusafirisha binadamu atajibu nini?
Hao watoto wanaosemwa walitakiwa kuwa shule je anafaham wazazi wao wamewaleta hapo kuombea nini, je kama wanakifafa cha mapepo?

Siyo kila sehemu zinatatuliwa na polisi pengine ni wangetumia USITAWI WA JAMII INGETOSHA KUTOA ELIMU!

Ningewaelewa sana kama MASHITAKA YANGEFUNGULIWA NA NEMC na siyo polisi!
NEMC wangetumia sheria ya Air pollution na polisi wangekuja mwishoni ku-enforce law ya mazingira!

Lakini kusema anasafilisha binadamu ni makida makida
 
Sijaona kosa kwa polisi kwa maana Kama ingekuwa sehemu ya tukio ndio ungethibisha hayo uyasemauo acha polisi wafanye kazi yao
 
Sijaona kosa kwa polisi kwa maana Kama ingekuwa sehemu ya tukio ndio ungethibisha hayo uyasemauo acha polisi wafanye kazi yao
Haya subiri kama watampeleka mahakamani kwa hilo kosa la usafirishaji wa binadamu
 
Ww ni miongoni mwa ile mijinga iliyokuwa inaigiza kuwa ni mazombi? Maana unachokitetea ni kitu cha kipumbavu na hakina maana.. sasa huo ushenzi wa zumaridi ni wakutetea
 
Mbona wasabato huwa wanahubiri dhidi ya Papa na wako huru?
Nakubaliana nawe kwa maana ya ukiukwaji wa sheria ila mfalme wako anakashfu imani za watu wengine kitu ambacho kinaweza sababisha uvunjifu wa amani
 
Police walipigwa siku ya kwanza,ni sawa tu nguvu walio tumia.
 
Imeisha hiyo...wewe ni kerubi.
 
Mleta uzi anazungumzia namna ya ukamataji sio makosa anayosemwa nayo huyo Zumaridi
Kama mimi na wewe hatufahamu huyo Zumaridi anasafirisha kina nani toka wapi kwenda wapi tuwaachie polisi wafanye kazi yao, unaonekana umekuja kulalamika bila kuwa na uthibitisho wa malalamiko yako
 
Cult ni nini?
 
Kwa jangiri kama hilo Police nawatetea kabisa,kama nawewe ni muumini basi jua Police wanajaribu kukufumbua macho kuwa huyo SI kiongozi wakanisa Bali ni jambazi linalotumia dini
Kwa nini unamuita jangiLi na jambazi?
 
Mitume na manabii wanajiandikisha na kuwa na umoja wao?!
 
Umejitahidi kueleza ingawa umeeleza kana kwamba wewe ni Mfuasi wa Zumaridi.
Anyway haki itendeke!
 
Kwa jangiri kama hilo Police nawatetea kabisa,kama nawewe ni muumini basi jua Police wanajaribu kukufumbua macho kuwa huyo SI kiongozi wakanisa Bali ni jambazi linalotumia dini
Kwani kiongozi mzuri wa dini ni mpaka atoke kwenye haya makanisa ya wazungu..au wewe kiongozi wa dini unampima kwa vigezo gani..je huko unakoamini kuna viongozi sahihi wa dini mbona kila siku wamejaa maovu na mazambi mengi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kudanganya
Ukweli katika Imani ni subjective
Kwa kukusanya watoto wa wenyewe akawafuga kama mbuzi
kwahio anafanya child molestation, abuse au kidnapping ?
Kuhubiri upumbavu
Upumbavu kwako kwa mwingine ni neema unless otherwise anakashifu wengine
Kujipatia kipato kinyume na sheria
Sheria ipi ? Kama nilivyosema Imani ni subjective tukikazia hapa huenda sadaka zote zikapigwa marufuku
Kuwatumikisha watu na kuwafanya mabwege
Subjective mwingine anaweza kusema vilevile kwa imani zote
Kujifananisha na Mungu
Mungu yupi ? Wa Waisraeli, wa Rastafarians, wa Hindus, wa Mababu zetu au wa Wafuasi wa Zumaridi...,.
Soma Katiba utajifunza mengi
Nadhani nawe wahitaji kufanya hivyo...
Usisahau kusoma Vitabu Vitakatifu pia
Vitakatifu kwa nani ?, Nadhani Huyu pia ana vitabu vyake vinavyomuongoza kufanya afanyavyo...

To each his/her Own

Kwa kuishi kistaarabu nadhani tuvumiliane kwa kila mmoja na Imani Yake..., so long as Imani yako / yao isiwe Kero kwa Wengine...

Kuna Mengi wanayoweza kushitakiwa hawa watu wa Imani (Public Nuisance n.k.) ila sidhani uliyoorodhesha hapo juu yana angukia kwenye hio category.... (ukizingatia kama wote ambao wanarubuniwa ni of legal age)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…