Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mganga wa kumaliza tatizo.Ila yule wa mahakama alitoa masaa kwa hakimu kiboko.Si uwaroge tu.
Aiseeni sahihi, huyo kijana alienda kushitaki Central Polisi, maafisa wa polisi wakamuambia hata sisi tuna familia na tumepigiwa simu nyingi sana kuhusu hii kesi hivyo hatuwezi fungua mashitaka na kuharibu kazi zetu. wakamsihi tu aende kutafuta namna ya kumalizana nae wao hawana uwezo huo.
Namjua MkuuWewe umejuaje kama Salaa haingii huku kusoma?
Hata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojuaMkuu mbona kama umepanic tangu mwanzo wa hii topic? Hatimae uzalendo umekushinda mpaka umejilipua.Tulia sisi wengine tunahesabu hayo masaa 72 tufunuliwe yale tusiyoyajua.
Matajiri wenu wakiguswa Mna baking kusema ohh chukihii coment nikiitafuta mkuu maan naona watu wanaanza kushambulia tu kwa chuki zao binafs hata hawajui A to Z na mleta mada nae kaandk kwa chuki tu hata mkasa hajauweka watu wachambue wajue namna ya kumshauri.
DuhHao jamaa ni watu wa ovyo
Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee
Kuna kijana mbongo mwenzetu walimteka wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu
Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Anaweza kuwa shabiki wa mboga mboga fc [emoji1]Mkuu mbona kama umepanic tangu mwanzo wa hii topic? Hatimae uzalendo umekushinda mpaka umejilipua.Tulia sisi wengine tunahesabu hayo masaa 72 tufunuliwe yale tusiyoyajua.
Ehh okHata kama nimepanic nakumabia ukweli ndio huo hakuna kitu chochote anachoweza kumfanya salaa sana sana yeye anaweza kufanywa. Kama alienda had central wakakataa kumfungulia amshtaka kwani wao ni wajinga? anaweza tu kuyatoa moyo wake uwe na amani ila hakuna chochote anachoweza kumfanya. Na hakuna kipya zaiid ya hivyo tunavyovijua na Seriakli inachojua
Anatetea uovuDALALI MKUU , Punguza upuuzi na ujinga mwache jamaa aanike na Wewe sio Moderator wa hii Forum, na Uongozi wa JF kama wataona habari haina ukweli wataufuta huu uzi
Mimi ni shabiki lia-lia wa yanga hata GENTAMYCINE ananijua vema ila hili la ukatili wa hii familia siungi mkono hata kidogo.Anaweza kuwa shabiki wa mboga mboga fc [emoji1]
Ova
Ningeshangaa sana kama nisingekuta comment kama hii. Na wewe ni tajiri kama Salah?Chuki zako binafsi tu na matajiri. Kama una ushahidi kwanini usiende mahakamani? huna mali anayoweza kuingangania salaa wala nini. Mwache stese hata nyie masikini wakati wa JPM mulijiona kama ma alst born wa Rais mukajipiga kifua na kujiita wanyonge na wazalendo
Huyu kipindi cha Msoga alipewa ubalozi kule china.Huyu View attachment 2540585
SALAAH MOHAMED SAID