Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe yupo njia ya kwenda Tanga, hawa wengine ni maboya tu, huyu huwa anaua nyani bila kumtazama usoni huku akitabasamu kama loote.Magufuli alijaribu akashindwa mwisho wa siku akatangulia akawaacha. Shida hamujui Silent ocean iko nyuma ya nani. Huo mnyororo umeanzia mbali sana. TRA walijaribu kidogo tu wale maafisa wote wakahamishwa
Nami Nashuka Tafadhali, Nisubiri Mkuu$800 million? Konda nishushe hapo...
Yaani Kikwete anashikana mikono na mbwa kama huyu? Huyu mzee vipi huyu, hana hata aibu?!
Kumbe Rick Ross kwa MO ni mchumba tu au sio?Mo ana utajiri wa $1.5 billion hiyo $500 million umeipata wapi
Alishatajwa kwenye goma hilo la FA & AY ft Fid Q - UPO HAPO?"Tajiri mtata kama Salaah" - Mwana Fa
"Mipango baba sihitaji shida na wana ,mipango ya namba" - Mwana Fa
Alishatajwa kwenye goma hilo la FA & AY ft Fid Q - UPO HAPO?
Mwaga upupu huo basi mkuu Salah aanze kujikuna naona unatupa robo robo au unaogopa kutupiwa kifurushi cha majini? Tupe maneno mkuu usitunyime weka Mambo hadharani masaa 72 yamekwisha tayari na Salah kaendeleza utata wake kaweka ngumu hela hajakupa haya mwaga uozo tuuone,Alipewa Ubalozi wakati aliishia kidato cha nne. Eti alipewa Ubalozi Guangzhou. Huyu JK hata hana aibu. Ndio maana kuna watu wanasema ni Mkongo. Hana uchungu na rasilimali za Tanzania kabisa.
Wewe point yako ni nini hasa??Anawasingizia, hana cha kuwafanya sababu wana pesa??Au ni nini....maana unaandika as if unajua kabisa kuna mtu anaonewa...si utulie jamaa afanye alichosema..shida yako ni nini???Nikuambie tu ukwlei unaouma HAKUNA KITU CHOCHOTE UTAKACHOWEZA KUMFANYA SALAA WALA NDUGU YAKE GHARIBU WALA YEYOTE ANAYEHUSIANA NAO PAMOJA NA SILENT OCEAN. pole sana Mkuu
Kumbe uozo upo mwingi mwageni mwageni sisi tunasoma aisee, yaan wamemsodoma jamaa kisa katembea na dada yao yaan hawataki mtu black amle dada yao wa kiarabu au mi sijaelewa?Hao jamaa ni watu wa ovyo
Pale Jangwani Beach Kunduchi, opposite na Ramada Resort kulikuwa na ndugu yao jirani na home kwa wazee
Kuna kijana mbongo mwenzetu walimkamata wakakodi mabaunsa wakamfirá sana kisa tu katembea na binti yao wa Kiarabu
Lile tukio lilifanya niwashushe thamani sana hao jamaa
Majini ndio utajiri wao shtuka wewe uko usingizini kwa kifo, usikiagi pesa za majini, Pete za majini, na makolokolo mengine sasa huo ni mfano tu kuna mengi kwenye utajiri usiyoyajua maana matajiri hawayasemi waziwazi ni SiriInakuwaje matajiri wanamiliki majini?
Matajiri asilimia kubwa ni wazulumati wa watu masikini yaan ni watu wanaowatumia masikini kuwadhulumu masikini..Ili uwe tajiri unatakiwa uwe kauzu, jasiri, roho ngumu kama sio mbaya yaani uwe kauzu kama sio katili
Matajiri wengi sanaa ni watu hatari sanaa yaani ni hatari sanaa hautakiwi kuwa lele Mama kama unataka utajiri mtu akakikuzingua mara moja mzingue mara 100 yaani lipiza kisasi kitakatifu
Na sio dhambi kuwa mkali katika mali yako
Tajiri kuingia peponi/kuuona ufalme wa mungu ni sawa sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano
Utajiri ni umafia mkubwa sanaa ndio maana masikini wapo wengi sana duniani normal people 99.9% matajiri ni 0.1% hybrid - utajiri
Imeandikwa iwe ngumu ili wawe nayo wachache
Kuna kanuni nyingi sana za utajiri moja ni; mtu akikukanyaga bahati mbaya wewe mkate mguu Kwa maksudi yaani mtu akikujaribu kukupiga kibao na akikukosa wewe mkamate muue au mchinje hadharani so ukiweza ku-apply hizo kanuni wewe ni tajiri teari so ukidili na watu wenye kauwezo uwezo kuwa makini usije ukamtovuga bahati mbaya yeye akakutoa macho yote mawili kwa maksud
Be careful my friend
Asantum
Chawa promax wewe GSM, silent ocean FSM na huyo aliekuwa home shopping wote ndugu na wote majambazi na matapeli na wote wachafu.GSM walinawari sana enzi za huyo huyo JPM. Ni kutokana na kunawiri huko ndiko kuliwafanya hadi waanze kumwaga pesa Utoloni! Na pia, Homeshopping Center ilipigwa mufilisi mwishoni kabisa mwa utawala wa JK. Kwa tuhuma ambazo HSC walikuwa nazo, na sababu zinazosemekana kupelekea kuiua HSC na kuanzisha GSM Group, mtu asingetarajia kwamba GSM Group ingemaliza 2016 lakini hadi Mwamba anatangulia mbele za haki, bado GSM ilikuwa juu, juu zaidi mbele ya huyo huyo JPM. Na ni kipindi cha JPM huyo huyo ndipo GSM "walifunga ndoa" na Bashite, Mwana Mpendwa wa JPM.
Hivyo basi, hizo porojo zenu tafuteni kwa kuzipeleka! JPM alikuwa na watu wake wa kuwafungia kazi, especially wale aliowaona viburi kama Yusuph Manji na Mzee Rugemalila ambae aligoma kumsujudia ili aachiwe!
Ongezea na bin slum naye wote duguChawa promax wewe GSM, silent ocean FSM na huyo aliekuwa home shopping wote ndugu na wote majambazi na matapeli na wote wachafu.
Eti Kwa JPM Bado GSM alikuwa juu unataka kumdanganya nani humu kipindi cha JPM walihama na nchi kabisa na operations zao za kitapeli na ujanja walizifanya wakiwa nje ya nchi,waliishi south Africa na mpaka walisomesha watoto wao huko bada JPM kufariki ndiyo walirudi huku tena mazima.
Kwa taarifa Yako huyo GSM ndiyo mafia kuliko ndugu zake wote.
Peleka taarifa kwao Uzi huu Kuna wengi tume athirika na dhulma za hii familia ila Kuna channels tunazifuata za kutaka kutendewa haki ambazo mpaka Sasa haya yote yanayo ongelewa humu kwamba wameishika serikali ni kweli. but mtu ukimuona anakuja sehemu kama JF basi ujue ana duku duku lake ambalo serikalini au kokote wenye kutoa haki hakupata msaada.