Salamu za Mwaka Mpya 2021 kwa Watanzania, Tundu Lissu atoa mwongozo wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Salamu za Mwaka Mpya 2021 kwa Watanzania, Tundu Lissu atoa mwongozo wa kudai Tume Huru ya Uchaguzi

Haijalishi kwavile matokeo ya mpasuko huo ni kuimarika kwa chama makini mshirika wenu ACT mlichopanda nacho milima na mabonde hadi kufika hapo mlipo sasa! Wao wanakula "bata" Zenji nyie mnagonga kuku wa Bara!

..umesahau kabla ya uchaguzi mkuu Prof alihudhuria mkutano mkuu wa ccm?

..ccm ina tabia ya kuwatumia wapinzani na baada ya muda huwatupa mkono.

..natumaini vyama vya upinzani vitalitambua hilo na kuamua kushirikiana kwa dhati.
 
Yule mwizi nafsi imemsuta kashindwa kutoa salaam za mwaka mpya. 2021 akiimaliza bila kupumzika kwa amani sijui!
Wakati wa uchaguzi mlisema hatoshinda, sasa hivi mnasema hatomaliza 2021 😂😂😂 wabongo bhana
 
Akitoa salamu za Mwaka mpya wa 2021 kwa wananchi wa Tanzania, Mh Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema , ametoa mwongozo wa kudai Tume huru ya uchaguzi kuanzia sasa , amesema kwa hali ilivyo nchini Tanzania ni vigumu kushiriki uchaguzi wowote bila Tume huru ya uchaguzi...
Hahahaaa kwa hiyo yeye anapiagania kupitia wapi? Huko aliko na mvinyo na mishikaki Au anakuja huku aingie jela kama mandela?

Huyo mwacheni abinue kiuno huko na awaache watanzania wapambane kujiletea maendeleo.

Tundu lisu akija tanzania labda afanye kazi ya mgambo na kirungu😁😁😁😁😁😁

Kama anahitaji hayo mambo aje apambane hapa tz mpaka kieleweke na sio kula mishikaki huku akitaka watu waumie na yeye aje kula kilaini kabisa bila jasho.

Wapambane na shoga Amsterdam huko wakati sisi tuna wacheki tu na darubini kwa mbaali huku tuanachapa kazi.
 
Hahahaaa kwa hiyo yeye anapiagania kupitia wapi? Huko aliko na mvinyo na mishikaki Au anakuja huku aingie jela kama mandela?

Huyo mwacheni abinue kiuno huko na awaache watanzania wapambane kujiletea maendeleo...
una uwezo mdogo sana!
 

Akitoa salamu za Mwaka mpya wa 2021 kwa wananchi wa Tanzania, Mh Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema , ametoa mwongozo wa kudai Tume huru ya uchaguzi kuanzia sasa , amesema kwa hali ilivyo nchini Tanzania ni vigumu kushiriki uchaguzi wowote bila Tume huru ya uchaguzi...
 
Hatoki mtu hapa, mtapiga kelele lakini JPM ndio kashika mpini na mtakonda kweli kweli.
 
What is "huru"? Is it the wording in the Act? Is it the person who heads it (a) lacks the required qualifications or (b) acts contrary to the law? I have seen many Tumes in the whole world, and here. If you ask me we are very huru...
Your mind is terribly under the influence, possibly a very potent newly discovered hallucinogen!
 
..umesahau kabla ya uchaguzi mkuu Prof alihudhuria mkutano mkuu wa ccm?

..ccm ina tabia ya kuwatumia wapinzani na baada ya muda huwatupa mkono.

..natumaini vyama vya upinzani vitalitambua hilo na kuamua kushirikiana kwa dhati.
Sijui kama ni 'TATIZO' kwetu, au ndiyo neema aliyotujalia Mungu: waTanzania hatuna kumbukumbu.
 
Lissu anaposema kuwa ni vigumu upinzani kushinda chaguzi bila katiba mpya ni ina maana anakishauri chama chake CHADEMA kisidiriki kushiriki chaguzi zijazo.

Kwa maneno hayo maana yake anasadikisha kauli na msimamo wa CUF uliotolewa na mwenyekiti wake Prof. Lipumba kwenye kongamano liloitishwa na chama hicho la uzinduzi wa kudai katiba mpya.

Kuna mashibiki humu wasiojitambua wamesimama kubeza misimamo ya CUF au mwenyekiti wake Lipumba hata kama ina matiki.

Ukweli ni kwamba Lipumba ana maono ya mbali ambayo wasiojitambua hawawezi kuyaona bali yanapotimia wanajenga chuki binafsi dhidi yake na kumchafua.

Mathali, Lipumba alimkataa Lowassa hata akajiuzulu uwenyekiti na wasiojitambua wakamtuhumu kuwa anatumika na CCM kutenza nguvu ya UKAWA wakisahau kuwa ushirika huo ulibuniwa na yeye. Mbali na hilo, CUF ilitoa msimamo mapema kabla ya uchaguzi uliopita kuwa haitashirikiana na chama chochote kitakachosimamisha Mgombea kutoka CCM. CHADEMA wakaona Lipumba ni mjinga na matokeo yake wakajinasibisha na ACT waliomsimamisha Membe wa CCM. Mbaya zaidi, Lissu huyu alidiriki kumuweka pingamizi Lipumba badala ya Membe wa CCM kwavile tu chama chake kilijitenga na "utopolo" wao waliouita "Ushirika wa CHAFEMA na ACT".

Alichokikataa Lipumba leo kimekuja kudhihiri mapema baada ya uchaguzi huo. Leo CHADEMA hawana hamu tena ya kujinashibisha na ACT bali wanaanza kufuata muongozo na harakati zilizobuniwa na CUF/Lipumba kuhusu madai ya katiba mpya.

Ushauri wangu kwa CHADEMA na mashabiki "wamsujudie" Lipumba bali wasitarajie kupata ushindi kwa kumchafua yeye na kuwatukuza makada kutoka CCM.
Hata mimi naanza kuamini Lipumba siyo CCM isipokuwa shetani alijipenyeza ndani ya CUF kulipokuwa na ufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom