Salamu za upendo zimetolewa kwa wananchi kutoka kwa Magufuli badala ya Rais Samia!

Salamu za upendo zimetolewa kwa wananchi kutoka kwa Magufuli badala ya Rais Samia!

Nyuki wa mama mpo?

Mwenezi Makonda amatoa alikuwa anatoa salamu kwa wananchi kwa nguvu zote, badala ya kusema Samia akasema Magufuli... halafu aaah zimetika kwa nani Dk. Samia.... amekuwa kama yule mbunge alisema nani anataka korona impate, au yule Profesa aliyemfanisha jiwe na Mungu.

Mioyo haijandaganyi jamani, utafurukuta wee lakini mwisho wa siku dhamira yako itajitokeza tu siku siku moja. Mwamba huyu hapa

Nawakumbusha tu, tusisahau mambo muhimu yanayoendelea nchini, ripoti ya CAG, wamekuja na mpya nyingine ya mafao ya wenza wa viongozi, amkeni wananchi wanategema kufanya maamuzi kutokana na tunavyowalisha!
Nawakumbusha tu, tusisahau mambo muhimu yanayoendelea nchini, ripoti ya CAG, wamekuja na mpya nyingine ya mafao ya wenza wa viongozi, amkeni wananchi wanategema kufanya maamuzi kutokana na tunavyowalisha!
FB_IMG_1698987623458.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyuki wa mama mpo?

Mwenezi Makonda amatoa alikuwa anatoa salamu kwa wananchi kwa nguvu zote, badala ya kusema Samia akasema Magufuli... halafu aaah zimetika kwa nani Dk. Samia.... amekuwa kama yule mbunge alisema nani anataka korona impate, au yule Profesa aliyemfanisha jiwe na Mungu.

Mioyo haijandaganyi jamani, utafurukuta wee lakini mwisho wa siku dhamira yako itajitokeza tu siku siku moja. Mwamba huyu hapa

Nawakumbusha tu, tusisahau mambo muhimu yanayoendelea nchini, ripoti ya CAG, wamekuja na mpya nyingine ya mafao ya wenza wa viongozi, amkeni wananchi wanategema kufanya maamuzi kutokana na tunavyowalisha!
Mapenzi hayajifichi. Rais wetu Magufuli pokea salamu za upendo kutoka kwa Makonda
 
Back
Top Bottom