Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa tu! Mimi huyu mwamba nimemkubali sana wanaosema ataisoma namba hawaelewi!Mkopo ni sehemu ya maisha ya watumishi wa serikali na baada ya mkopo ndio anachobaki nacho kupeleka kwake
Duh. Mkuu utakuwa unafanya kazi sehemu nzito nzito yenye Ulaji. Hongera mkuu. Japo nimetamani kujua ni Taasisi gani. Ila ndio hivyo unaweza usitaje jina tena.Sisi watumishi wa serikali ndo tunaelewa tunaishije,inshort sijui kwa kada za kawaida kama ualimu na udaktari lkn serikalini kwenye mashirika ya umma ns wizarani watu hatuishi kwa mishahara,mishahara ni kwa ajili ya kukopea tu,
Huo mshahara haujainclude ;
-over time ambayo mara nyingi huwa ni kianzia siku 20 kwa mwezi kwa rate ya kuanzia 30,000 kwa ofisa ambayo mtu anakuja 600,000,hiyo haikatwi kodi na ni fixed ipo kwnye standing order ya taasisi,
-kuna posho za vikao ambapo rate ni 100,000 kwa kikao na ofisa haipiti siku ukakosa kikao au kwa uchache walau kwa wiki una vikao vitatu,
-kuna madokezo ya posho,asilimia kubwa ya kzi serikali tunaandikia posho,kazi hiyohiyo niliyolipwa kikao pia naiandikia posho na jina la kwanza ktk dokezo la posho ni la mpitishaji malipo na wahasibu walipaji ambapo rate huwa ni kuanzia laki kwa siku,kama nimeandika kazi imefnyika kwa siku 7 nakunja laki 7 isiyokatwa kodi,etc,
Sijainclude safari,transport allowance,meal allowance etc,
Inshort mtumishi wa umma wa kwenye mashirika mengi na wizara hawaishi kwa mshahara,kwenda leo kazini kurudi na milipn 2 kawaida hapo nje ya rushwa na 10percent!1
Ya kwangu ni 3.1m!Bila shaka take home yako ni chini ya 314k lakini sio mbaya bwashee kupanga ni kuchagua endelea kula maisha
Sasa na wewe olishasikia wapi TGS G awe na take home ya 500k?Elewa pointi ndgu. Hyo 500k Ndo takehome yake baada ya mkopo
Wewe mbona mgumu kuelewa? Amesema mshahara wake ni TGS G, baada ya makato yooote anabaki na 500k, sasa usichoelewa ni nini hapo?Hili jamaa sijui likoje yaani TGS G iwe pungufu hata kwa yule wa TGS D? Siyo litumishi la umma hili!
Sasa hapo umeona kuna jina la mtu? Watu wengine sijui mkoje!inakera sana kuiona salary slip ya mtu mahali popote pasipohusika
Na wewe pimbi wewe ulishaona wapi kuna scale ya TGD G?Wewe mbona mgumu kuelewa? Amesema mshahara wake ni TGD G, baada ya makato yooote anabaki na 500k, sasa usichoelewa ni nini hapo?
Si amekopa kasema. Kwani unajua anakatwa sh ngapi kwa mwezi kulipa mkopo?Sasa na wewe olishasikia wapi TGS G awe na take home ya 500k?
Matusi ya nini sasa? Ni typing error tu ni TGS . Inaonekana una stress mno ndugu. Pole sana!Na wewe pimbi wewe ulishaona wapi kuna scale ya TGD G?
Siwezi kuwa na stress hata siku moja! Huku ninakofanyia tulishapigwa misasa ya kufa mtu kuhusu stress management! 😁😁😁😂😂😂Matusi ya nini sasa? Ni typing error tu ni TGS . Inaonekana una stress mno ndugu. Pole sana!
Mwalimu, kuna chakamwata ni chama kilichojitenga na majizi CWTHuyu mtumishi ni wa kada gani?
Lakini si unaijua sheria ya kubaki na 1/3 ya mshahara? Sasa mwenye TGS G atabakije na laki 5 na wewe?Si amekopa kasema. Kwani unajua anakatwa sh ngapi kwa mwezi kulipa mkopo?
Deni LA board 141,000 umelisahauE1 = Basic 940,000
Cwt = 18,800.
Pension = 47,000.
Income = 103,400.
Insurance = 28,200
Take home = 742,600
Wote hatuwezi kua madalali,division of LabourDah, kwa kada zetu hizi tofauti na Ewura, BOT, NSSF,PSSSF,BANDARINI,SIASA tena ukiwa super senior emploee/worker kuajiriwa ni utumwa na kujitafutia stress na kifo.
Take home 314k wakati dalali hiyo anapata kwa nusu saa tena kwa kumtembeza mnunuzi au kutangaza biashara ya bosi
There you areKwani unafikiri kazikwapua zote"kwa mkupuo!? Hapo kuna top ups kadhaa,,bila shaka kauza na mkopo mwingine!
Hao chakuhawata wanapatikana wapi nijiunge nao.View attachment 2200989
Basic salary: 940,000
......
Michango/makato yake
Chakuhawata contribution 5000
PSSSF 47,000
PAYE 94,200
Nmb bank loan 42,870,300 (451,266)
NHIF fund employees 28,200
......
NET AMOUNT DUE.. 314,333.68 Tshs
Aisee!! Hivi kweli eehh!Hao chakuhawata wanapatikana wapi nijiunge nao.
Safari cwt hata Tshirt hawana
Kwamba??? Binafsi unawezaje kukopaaSio lazima uwepo Serikalini ndio Ukope.