Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

Mimi kwenye deni nina 22 mil. Ila nna kibanda changu na viwanja viwili kimoja kina pagala na usafiru wa pikipiki na kula 314,000 tu
 
Sisi watumishi wa serikali ndo tunaelewa tunaishije,inshort sijui kwa kada za kawaida kama ualimu na udaktari lkn serikalini kwenye mashirika ya umma ns wizarani watu hatuishi kwa mishahara,mishahara ni kwa ajili ya kukopea tu,
Huo mshahara haujainclude ;
-over time ambayo mara nyingi huwa ni kianzia siku 20 kwa mwezi kwa rate ya kuanzia 30,000 kwa ofisa ambayo mtu anakuja 600,000,hiyo haikatwi kodi na ni fixed ipo kwnye standing order ya taasisi,
-kuna posho za vikao ambapo rate ni 100,000 kwa kikao na ofisa haipiti siku ukakosa kikao au kwa uchache walau kwa wiki una vikao vitatu,
-kuna madokezo ya posho,asilimia kubwa ya kzi serikali tunaandikia posho,kazi hiyohiyo niliyolipwa kikao pia naiandikia posho na jina la kwanza ktk dokezo la posho ni la mpitishaji malipo na wahasibu walipaji ambapo rate huwa ni kuanzia laki kwa siku,kama nimeandika kazi imefnyika kwa siku 7 nakunja laki 7 isiyokatwa kodi,etc,
Sijainclude safari,transport allowance,meal allowance etc,
Inshort mtumishi wa umma wa kwenye mashirika mengi na wizara hawaishi kwa mshahara,kwenda leo kazini kurudi na milipn 2 kawaida hapo nje ya rushwa na 10percent!1
Duh. Mkuu utakuwa unafanya kazi sehemu nzito nzito yenye Ulaji. Hongera mkuu. Japo nimetamani kujua ni Taasisi gani. Ila ndio hivyo unaweza usitaje jina tena.
 
Hili jamaa sijui likoje yaani TGS G iwe pungufu hata kwa yule wa TGS D? Siyo litumishi la umma hili!
Wewe mbona mgumu kuelewa? Amesema mshahara wake ni TGS G, baada ya makato yooote anabaki na 500k, sasa usichoelewa ni nini hapo?
 
Matusi ya nini sasa? Ni typing error tu ni TGS . Inaonekana una stress mno ndugu. Pole sana!
Siwezi kuwa na stress hata siku moja! Huku ninakofanyia tulishapigwa misasa ya kufa mtu kuhusu stress management! 😁😁😁😂😂😂
 
Dah, kwa kada zetu hizi tofauti na Ewura, BOT, NSSF,PSSSF,BANDARINI,SIASA tena ukiwa super senior emploee/worker kuajiriwa ni utumwa na kujitafutia stress na kifo.
Take home 314k wakati dalali hiyo anapata kwa nusu saa tena kwa kumtembeza mnunuzi au kutangaza biashara ya bosi
Wote hatuwezi kua madalali,division of Labour
 
kwa makato hayo hakuna benk inakopesha pesa hiyo hayo ni madhara ya ku top up.nampa pole asubiri deni litaisha tu
 
Back
Top Bottom