Salma Kikwete ataka Sheria ya Stahiki za wake wa Viongozi Wakuu

Duuh! Sasa mama Salma Kikwete anataka apate mafao kwa kulala na Jakaya Kikwete!

Kwa kweli Tanzania kama nchi tumekwisha na hawa viwavi!
 
Aisee ...! hicho ndicho wananchi wa Mchinga walimtuma akawasemee Bungeni?
Huko Mchinga kuna Changamoto kibao yeye hazioni.?
Hii familia inajisahau. Tanzania ni kubwa na ina watu wengi. Urais ni favour ya Mwenyezi Mungu. Sio ufalme. Tuache kutaka kula na kuvimbiwa kama Tanzania ina familia moja au mbili tu. Tanzania ina watu zaidi ya mil 60
 
Sijaona ubaya ya aliyoyasema, lakini sijui watu wamechukulia kwa mtazamo upi.

Kawaida mtu ukistaafu lazima ulipwe mafao yako.

Mfano Mama janeth alikuwa mwalimu lakini baada ya Magufuli kuwa raisi yeye anastaafishwa kazi. Sasa kwanini asilipwe mafao yake kama mwalimu.

Si yeye amejimaanisha bali hata hao wajao wengine watanufaika
 
Duuh! Sasa mama Salma Kikwete anataka apate mafao kwa kulala na Jakaya Kikwete!

Kwa kweli Tanzania kama nchi tumekwisha na hawa viwavi!
Sio mafao ya kuwa mke wa raisi ila mafao ya kazi yake aliyokuwa akifanya hapo awali
 
Duh.
 
Mkuu umesoma vizuri kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…