Salome Mgaya (Mama Kibonge) akamatwa kwa ukwepaji Kodi za Mabilioni ya fedha Bandarini

Kwa mujibu wake anasema kontena moja kuliingiza pale bandari ni sh. 200m mpaka 300m wakati kenya na zambia wao wanaingiza kwa 45m tu. Sasa just imagine hapo jinsi ngoma inavyokuwa ngumu hapa ndani na wakati mizigo ya zambia inapitia pale pale bandari yetu.


Hii nchi ni ngumu sana kutoboa biashara kwa uhalali hata mimi simdai kwa kweli.
 
Kuna kitu hakipo sawa hasa katika maswala ya kodi nchini Tanzania na hapa anatafutwa mbuzi Wa kafara katika hii movie .Nilazima waliopewa dhamana ya kuongoza nchi kuzingatia viapo vyao na ningeomba mama awe mkali kwa wasaidizi wake maana walio wengi ni wapigaji they don't mean what they say ile style ya jpm panga pangua ili kuwa ni sababu ya haya maukakasi tunayo yaona nchini kwa sasa. Kama Dar usoni mwa nchi kuna utusi tusi mwingi wa namna hii habari gani huko mikoani kwenye halmashauri ,mipakani ?
 
Kashakula chaka kwenye tume hiyo. Huyo kama TRA wameshamuambia jana akachukue mzigo wake ina maana hapo kuna watu walikuwa wanatengeneza mazingira yakumpiga hela.
hujasikia vema akachukue na aende nan1/3 ya contena zake kwa maana 3bil unadhani anaenda tupu?
 
Kwa Jinsi wafanyabiashara walivyoeleza ,ni wazi watendaji wanaweka kodi zisizolipika ili mradi watu watoe rushwa na wao wapate chao,kuna mfanyabiashar alitoa wazo ambalo kama mwigulu angelitekeleza serikali ingepata kodi mara mbili ya waliotarget wao lakini hawakusikiliza mawazo yao zaidi ya kuongeza tozo kutoka laki 8 hadi 2.4m
 
Hatimaye leo Waziri mkuu ameujuwa ukweli na mama Kibonge ameteuliwa kwenye tume ya serikali na wafanyabiashara.
 
Kashakula chaka kwenye tume hiyo. Huyo kama TRA wameshamuambia jana akachukue mzigo wake ina maana hapo kuna watu walikuwa wanatengeneza mazingira yakumpiga hela.
Na badala yake mama kibonge ndio anaenda kuwa wajibisha maafisa wa TRA waliokua wakimsumbua...🀣
Leo mende ameangusha kabati...😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…