Samata mishahara ya milioni 400 kwa mwezi iko wapi? Hatuoni maendeleo

Samata mishahara ya milioni 400 kwa mwezi iko wapi? Hatuoni maendeleo

Kuna kipindi nilisikia ana bajaja 40 na daladala kama utitiri.

Ila biashara ya vyombo vya moto kwangu Mimi naiona kama biashara kichaaaaa

Unaweza kufilisika siku na saa yoyote.

Ila jamaa pia nasikia ana vyumba za kutosha.
 
Usiwadharau watu, wala usiwakebehi, wala usiwafanyie dhihaka, kwani haujui vipi itakuwa hali yako kesho.
Kuwa makini, leo usiwe ni katika watukanaji, kesho ukawa ni miongoni mwa waliopewa mtihani.
Tuhifadhini ndimi zetu.

Ijumaa Mubarak
swadaqta
 
Shida wakiugua mbele ya safari wanapitisha mabakuli kwa wadau wa michezo/mpira au wale wa muziki ndiyo maana watu wanapata uthubutu wa kutaka kujua hufanya nini wakiwa nazo.

BTW:Kuna wanasoka wanakunja hiyo 400M wakiwa hapahapa bara giza hasa kwa vigogo wa Kaskazini.
 
Uko sahih mleta Uzi ila naona unapata upinzani mkubwa kwake kwa kuwa Ni ukweli

Jamaa ajafanya lolote hat kujenga shule au hospitality Yale Kisha kukabidhi serkali [emoji23] hajafanya hvyo Ni wasi jamaa alikuwa akilpwa milion 19 tu nakuka kutudanganya kuwa analipwa milion 340
 
Ni pesa ndogo sana hiyo dogo. Mi naona anasave tu kwa ajili ya uzeeni. Aje kufanya biashara bongo kwa hawa waswahili wasio waaminifu, si atakuwa anacheza huko kwa stress tu? Hizo pesa kuna watu hapa hapa Bongo wanazipata ila hauoni wakifanya mambo makuuubwa.
 
A
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Anza wewe kueleza unapata kiasi gani na umefanya maendeleo gani.
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Unataka kila anachofanya akuambie?
Akaunti yake unajua ina salio kiasi gani?
 
Upumbavu mtupu, nawewe si utafute zako ufanye hayo waliyofanya kina mane unaowasema!

Pesa ya mtu mnataka muifanye iwe ya jamii, muamue haya ni maendeleo haya sio?

Ujinga mtupu.
 
Uko sahih mleta Uzi ila naona unapata upinzani mkubwa kwake kwa kuwa Ni ukweli

Jamaa ajafanya lolote hat kujenga shule au hospitality Yale Kisha kukabidhi serkali [emoji23] hajafanya hvyo Ni wasi jamaa alikuwa akilpwa milion 19 tu nakuka kutudanganya kuwa analipwa milion 340
Ulishawahi msikia Samata anataja mshahara wake?
Mimi binafsi sijawahi zaidi ya stori za kijiweni tu.
 
View attachment 2674110

Najiuliza hili swali nashindwa kupata jibu, kati ya wachezaji waliopata mafanikio makubwa na muda wote toka Tanzania iumbwe na Toka kabla makubaliano ya bandari hayajafanyika ni Mbwana Samata, amecheza vilabu vinginna vikubwa , lakini Nina swali dogo.

Mbwana alivofika ulaya alikuwa akipokea mshahara mkubwa na marupu rupu nje ya mshahara, kwa mshahara wake tu alikuwa akilipwa kwa mwezi takribani milioni 450 za Kitanzania, ukitoka Kodi na matakataka mengine anabaki na kama milioni 350 hapo nje ya marupu rupu.

Tunaomjua karibu Samata tunashindwa kuelewa kuwa zaidi ya nyumba ya Kigamboni hatujaona amefanya chochote cha maana na chakueleweka na ndio anafikia mwisho wake. Tofauti na wenzie kina Adebayor, Mane, ambao wameweka alama lakini wamefanya uwekezaji mkubwa sana.

Kama Samata ameshindwa kumanage funds alizopata na anazopata, basi Watanzania inabidi tujiangalie na tujiterekebishe. Katika hili hatuwezi kumlaumu Wema Sepetu, wala Irene Uwoya kwakuwa Samata alikuwa si mtu wa hizo mambo.

Natoa hoja.
Unajua akaunti yake/zake zina shilingi ngapi?
 
Back
Top Bottom