Sambusa za nyama na juice ya matunda

Hiyo scenery ni nusu pepo. Unavuta hewa isiyo hata na chembe ya sumu.
 
Siku moja ukishinda bingo ualike wana JF waje kula madiko diko na ku enjoy hayo mandhari.
Halafu wakimaliza kula hapohapo brandy,gin, vodka,rum, tequila, whiskey, beer na wine lazima zihusike ili kumeng'enya vyema chakula bila kusahau muziki...😁
 
Daa
Daah hiyo ishu ya chenga umeongea mkuu nimeumia sana nilipia buku langu kununua juice yule demu alikuwa kachanganya na mapilipili manga ila ni kihelehele changu kwa sababu niliona na nilihoji mbona kuna hivi vidude
 
Halafu wakimaliza kula hapohapo brandy,gin, vodka,rum, tequila, whiskey, beer na wine lazima zihusike ili kumeng'enya vyema chakula bila kusahau muziki...😁
Ahahah au sio wazee wa mvinyo
 
Daa

Daah hiyo ishu ya chenga umeongea mkuu nimeumia sana nilipia buku langu kununua juice yule demu alikuwa kachanganya na mapilipili manga ila ni kihelehele changu kwa sababu niliona na nilihoji mbona kuna hivi vidude
pole mkuu..🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…