Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Same: Ajali yaua watu saba wa familia moja

Its spiritual attack, kamwe usithubutu kupanda gari/basi moja mkiwa watu wa familia moja ni hatari sana kwenye ulimwengu wa roho tumia "Divide and Spread Rule" huu ni mfumo wanaotumia Marais wengi wakisafiri na gari/basi barabarani. RIP
Kweli mkuu nakumbuka kipindi tupo wadogo tukienda likizo ilikuwa tunajigawa unakuta mzee anaenda na bi mkubwa na dogo mmoja gari moja halafu wengine tunasafiri siku ya pili na gari tofauti na kurudi hvyo na mpaka leo ndo utaratibu wake jinsi ulivyo.
 
Corolla zipo nyingi hata Wish ni corolla pia, babu unazeeka vibaya.
The Toyota Wish debuted at the 2002 Tokyo Motor Show and was introduced to the public as part of the 2003 model year line-up. The first generation AE10 was built from 2003 to 2009 with few changes to the basic design that was developed by Takeshi Yoshida and his team.

The Wish quickly became a popular compact MPV within the Japanese market and was frequently seen listed in the Top 5 car models on 30 best-seller lists each month..

Hizi gari toleo la kwanza ni mwaka 2003, kwa no AW ni za mwaka 2007-2008 ambapo kwa tz zilikua hazijafika.

Kwa vyovyote hiyo gari itakua ni toyota corola kama corola
 
Nafahamu kuwa model zote hizo umetaja ni familia moja ya Corolla...

Lakini unashindwa kuelewa kwamba kwa ilivyozoeleka ukitaja Corolla, je ni gari ipi inayokuwa inatambulishwa?

Je na hizo gari umetaja, huwa watu wanazitambua kwa majina ya Spacio na Wish au Corolla?
Itoshe kusema hakuna

Toyota wish au Toyota spacio

Namba A
 
Kweli mkuu nakumbuka kipindi tupo wadogo tukienda likizo ilikuwa tunajigawa unakuta mzee anaenda na bi mkubwa na dogo mmoja gari moja halafu wengine tunasafiri siku ya pili na gari tofauti na kurudi hvyo na mpaka leo ndo utaratibu wake jinsi ulivyo.
hiyo ndio Divide and Spread Rule kaka, tatizo watu wabishi sana
 
Eti Bro Mshana ... mwanaume kulala kwa wakwee na kugegedana huwa inaleta madhara wakati wa safari?

Je ni kweli watu wa kaskazini wana imani mbaya pale familia inaposafiri katika gari/basi moja kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine hasa msimu wa sikukuu ama kuwapo na shughuli ya kifamilia sherehe/msiba?

nakubaliana nawe sio kila ndugu/jirani wa kumwaga
Ya kulalana ukweni hayana madhara yoyote kiroho, ya kusafiri familia nzima kwenye gari moja ni mbaya kiroho kwakuwa kama kuna mmoja ana vita ya kiroho ni rahisi kuwaambukiza wengine
 
Watu wanajidai wana haraka sana, amewahi alipotaka kufika
 
Mwanga mpaka Hedaru ni eneo hatari sana kwa mwendokasi na kuna baadhi ya maeneo yake yamewekwa kabisa vibao vya hadhari. BTW alitoka Tanga nyumbani. Kuna baadhi ya maeneo siku ya kuondoka huagi kila mtu
For sure nakuunga mkono bro
 
Watakuwa watoto? Mtoto mmoja alipakatwa na maza mbele, wengine nyuma
Mkuu ngoja nami niongezee hapa, mtoto wa chini ya 3yrs ni lazima watumie kiti maalum ndani ya gari ,hakuna kupakatana ,nchi hii iligeuka uelekeo sio kipindi fulani huko nyuma
 
Back
Top Bottom