Pre GE2025 "Samia Must Go!": Kuna kila dalili za CHADEMA kutaka kupindua Serikali halali!

Pre GE2025 "Samia Must Go!": Kuna kila dalili za CHADEMA kutaka kupindua Serikali halali!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
1,015
Reaction score
2,493
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?

Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go!".

Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.

Vyombo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.

Pia soma:Rais Samia: Kama Wapinzani wameota Mikia Sheria zile zile bado zipo
 
Inaonekana bado una uelewa mdogo wa mambo uliyoyaandika.

Huelewi maana ya kupindua Setikali. Serikali haipinduliwi kwa maandamano. Serikali hupinduliwa kwa mtutu wa bunduki. Maandamano in worst scenario, yanaweza kumlazimisha mtawala kujiuzulu, lakini hayapindui Serikali. Ndiyo maana huwezi kusikia kuwa kiongozi wa nchi fulani amepinduliwa na maandamano bali unaaweza kusikia kuwa kiongozi fulani AMEJIUZULU baada ya maandamano ya muda mrefu ya wananchi. Na hiyo ni sehemu ya demokrasia:

1) Bunge linaweza kupiva kura ya kutokuwa na imani na Rais. Ikitokea hivyo Rais anavunja Bunge, halafu wanaenda kuulizwa wananchi. Kama wananchi watawarudisha theluthi mbili ya wale waliompigia kura ya kutokuwa na imani na Rais, Rais anajiuzulu. Wabunge wakirudi pungufu, Rais anaendelea. Lakini ikitokea Bunge limekuwa la kinafiki, kama lilivyo hili la kwetu, na wananchi wanaona utendaji wa Serikali na Bunge ni nje kabisa na matarajio yao, wana haki ya kulipuuza Bunge, na kisha kuchukua hatua dhidi ya Serikali. Na hatua hizi, kama maandamano ya kutaka kiongozi ajiuzulu, ni sehemu ya hatia za kidemokrasia.
 
Inaonekana bado una uelewa mdogo wa mambo uliyoyaandika.

Huelewi maana ya kupindua Setikali. Serikali haipinduliwi kwa maandamano. Serikali hupinduliwa kwa mtutu wa bunduki. Maandamano in worst scenario,...
Hao wa kuandamana na kuipindua serikali ni Gen Z wa Kenya, hapa Tanzania hatuna vijana waliojaa moshi vichwani.

Tunao vijana waungwana na wenye kuheshimu majukumu yao mengi ya kimaisha.
 
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go...
Kiongozi akishindwa kulinda uhai wa raia wake MUST GO!
 
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go,...
Sijasoma uzi ila heading tu na nakusaidia kujua kuwa siyo chadema tu bali hata CCM wachache wenye akili lkn pia nasi tusiokuwa wafuasi wala mlengo wa chama chochote.
 
Samia must vacate the seat.
Samia must dismiss herself.
Or else, she will be ousted.
 
Huyo Mbowe ni mwana CCM wa chini ya kapeti, hana uwezo wa kuipindua serikali ya Samia.
Unabashiri au umekopi maneno ya watu. Huna uhakika na ukisemacho. Na sijawahi kumsikia Mbowe anasema ni ccm. Wewe umetoa wapi habari hiyo umekaririshwa na nani? Andika ulicho na uhakika hata kama umejificha jf
 
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?

Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go".

Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.

Vyimbo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?

Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go".

Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.

Vyimbo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.
Majibu ya maswali yanapatikana kwenye katiba ya JMT, rejea.
 
Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?

Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go".

Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.

Vyimbo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.
Uharo
 
Back
Top Bottom