Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Kumchapa mtu lakini akawa anajihisi ana mazingira huru ya kulilia nayo ni hekima ya juu kabisa katika uongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Delusion....Samia must vacate the seat.
Samia must dismiss herself.
Or else, she will be ousted
Mbowe ni mtu wa usalama wa taifa na anapiga pesa ndefu kupitia haya masuala ya maandamano. Ananeemeka kupitia masuala ya demokrasia kwa kuingiziwa mapesa mengi na taasisi za kidemokrasiaz za Uingereza na Marekani.Unabashiri au umekopi maneno ya watu. Huna uhakika na ukisemacho. Na sijawahi kumsikia Mbowe anasema ni ccm. Wewe umetoa wapi habari hiyo umekaririshwa na nani? Andika ulicho na uhakika hata kama umejificha jf
Hu kilaza kweliHakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?
Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go".
Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.
Vyimbo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.
Hivi huwa wanaofanya mapinduzi wanatangaza?Hakuna asiyejua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hajaingia madarakani kinyemela bali ameingia madarakani kikatiba. Kuja na kauli mbiu ya maandamano ya Samia Must Go ina ukakasi ndani yake. She Must go, well where and why? Kama siyo mapinduzi ni nini?
Sheria inasemaje kwa watu au mtu anayepanga kupindua Serikali? Mbona hoja ya msingi imekwepwa? Chadema ni kama imeishiwa hoja na agenda kabisa. Badala ya kuandamana kupinga ugumu wa maisha mnakuja na maigizo ya Kenya ya "Ruto Must Go".
Msiige kunya kwa tembo. Kenya Gen Z 60 walipoteza maisha na miongoni mwao hakuna mtoto hata mmoja wa viongozi wa uponzani waliogharamia maandamano yasiyokoma zaidi ya hapo walipewa vyeo na kuacha misiba katika familia 60.
Vyimbo vya usalama zuieni mapinduzi haya ya kupanga. Umma uko na Rais Samia Suluhu Hassan "MwaMwi". Tukutane Sept 23.
Hayo mauwaji yamekufuraisha unaongea ukiwa umeshiba na kupumuajamba...laiti ungepitia mateso ya yule Mzee usingeleta urojo hapaMy take; Anayetunga slogan za Chadema ni eiza hana nia njema na viongozi wake
au
Amegundua hawana akili na kwamba wanapokea kila kinachowafurahisha...
Mtu mwenye nia ya kuandamana kwa amani hawezi kutoa kauli kama hiyo...
Jiandae na matusi zaidi toka vijana wa BavichaHayo mauwaji yamekufuraisha unaongea ukiwa umeshiba na kupumuajamba...laiti ungepitia mateso ya yule Mzee usingeleta urojo hapa
hawana washauri wataalamu wala hawashauriki ndio tatizo la chadema 🐒My take; Anayetunga slogan za Chadema ni eiza hana nia njema na viongozi wake
au
Amegundua hawana akili na kwamba wanapokea kila kinachowafurahisha...
Mtu mwenye nia ya kuandamana kwa amani hawezi kutoa kauli kama hiyo...
Mkuu sifurahishwi na mauwaji ya yeyote...Hayo mauwaji yamekufuraisha unaongea ukiwa umeshiba na kupumuajamba...laiti ungepitia mateso ya yule Mzee usingeleta urojo hapa
My take; Anayetunga slogan za Chadema ni eiza hana nia njema na viongozi wake
au
Amegundua hawana akili na kwamba wanapokea kila kinachowafurahisha...
Mtu mwenye nia ya kuandamana kwa amani hawezi kutoa kauli kama hiyo...
Unaweza kuwa sahihi...Inategemea na tafsiri yako.
Kwani walisema wanamuondoa kwa maandamano au wanatumia maandamano haoyo kutoa awareness na kumuondoa kwa kura...!!? Tatizo la Watanzania ni kuwa na negative thinking inapokuja kwenye maswala ya Wapinzani. Na CCM kwa madhambi yao waliyowafanyia Watanzania kwa miaka 60, kila wakiguswan na unyasi wanafikiri ni nyoka.
Wewe ndio hujui uhuru wa kisiasa ukoje.My take; Anayetunga slogan za Chadema ni eiza hana nia njema na viongozi wake
au
Amegundua hawana akili na kwamba wanapokea kila kinachowafurahisha...
Mtu mwenye nia ya kuandamana kwa amani hawezi kutoa kauli kama hiyo...
Uhuru wa kisiasa kwenye kauli kama hizo?Wewe ndio hujui uhuru wa kisiasa ukoje.
Viongozi wa kisiasa na hata wananchi wana haki ya kusema mtu fulani anafaa au hafai, abaki au aondolewe.Uhuru wa kisiasa kwenye kauli kama hizo?
Emu fafanua Samia must go mlikua na maana gani?
Ni mataoke ya chama kuendeshwa na wahuni waliofeli kidato cha nne (Shame)My take; Anayetunga slogan za Chadema ni eiza hana nia njema na viongozi wake
au
Amegundua hawana akili na kwamba wanapokea kila kinachowafurahisha...
Mtu mwenye nia ya kuandamana kwa amani hawezi kutoa kauli kama hiyo...
Good umeeleza vizuri..Viongozi wa kisiasa na hata wananchi wana haki ya kusema mtu fulani anafaa au hafai, abaki au aondolewe.
Nakuunga mkono.Ni mataoke ya chama kuendeshwa na wahuni waliofeli kidato cha nne (Shame)