Pre GE2025 Samia ndio kiongozi pekee wa awamu ya 5 aliyeenda kumjulia hali Tundu Lissu hospitalini lakini shukrani anayopata ni matusi na kumbagua

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huwa Ninacheka sana nikiona ccm wanasema kuhusu kueneza chuki, halafu fuatilia wanavyongia madarakani kwa njia za kihayawani, yaani ni chuki za kudumu wanajenga. Kwa maneno marahisi kama umejitoa ufahamu kwa kuona ccm ni sahihi, msamiati wa kueneza chuki uepuke maana haukubebi.
 
Ni beyond that, anadhihaki hata pose ya mama Samia kwenye mabango,
ile kumuita "mama Abduli" repeatedly ni unnecessary, ni kuingiza ishu za familia kwenye siasa
Mbona wanasema pochi la mama husemi wanaingiza ishu za familia na Makonda juzi alisema yeye ndiyo mtoto pekee wa mama huku lalamika, acheni upuuzi, Lisu hajui siasa za kinafisi za kumsema mtu pembeni yeye hupasuka live ili kama una akili timamu ujirekebishe, mfano nipe faida 5 za muungano kwa mtanganyika/bara
 
Zipi hizo? Huwa wanaeneza chuki na ubaguzi?
 
Nyerere hakuwa Mungu.... Tafakari
Ni ujinga kumtukuza marehemu ni kukosa akili, utadhani Nyerere ndiyo anawaza kwa niaba ya watanzania wote, alifanya mazuri kwa wakati wake sasa hayupo lazima tusonge mbele na turekebishe makosa yake.
 
Narukia wapi? Hoja ipi imekosa majibu?

Unadhani pesa ambazo Serikali inaingiza kutoka Zanzibar sio faida ni hasara ya Muungano au?
Kama TRA ipo Zanzibar kwanini kuna ZRA? kwanini ukinunua hata TV kwa matumizi yako toka Zanzibar lazima bandarini ulipe tena?
 
Kama TRA ipo Zanzibar kwanini kuna ZRA? kwanini ukinunua hata TV kwa matumizi yako toka Zanzibar lazima bandarini ulipe tena?
Kama TRA Iko Kila Halmashauri Kwa nini Kuna makusanyo ya ndani ya Halmashauri?

Ukipata zero Civics na huyo Lisu wako si ndio? 😁😁
 
Unauliza au unapigia jibu mstari? Ama umesahau habari za chama Cha wachaga? Upore uchaguzi, ubambikie wapinzani wako kesi, uue hiyo sio chuki bali ni upendo?
Chadema ni absolutely chama Cha kidini Cha Wakristo,angalia hata huko kwenye Uongozi wenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…