Pre GE2025 Samia: Sherehe nyingine za Kitaifa za Wanawake Zitafanyika 2030 wakati naachia ngazi, nitawaaga katika sherehe hizo!

Pre GE2025 Samia: Sherehe nyingine za Kitaifa za Wanawake Zitafanyika 2030 wakati naachia ngazi, nitawaaga katika sherehe hizo!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Swali la kujiuliza ana hakika gani kama atakuwa Rais!!?? Ina maana ana maamuzi ya wapiga kura?!!! Ina maana uchaguzi utakaofanyika ni Maigizoo??!! Nawaheshimu sana Mpango na Kinana... Wana akili kubwa sanaa....
Optimism!! Why not??
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa maadhimisho mengine ya Siku ya Wanawake yatafanyika mwaka 2030 wakati atakapoachia ngazi.
Kwahiyo hakuna haja ya kujiandikisha wala kwenda kupiga kura kwakuwa kiongozi amekwishajibandika
 
Nani kasema hayo?
1741541594079.png
 
Nimemsikia afande samia huko Arusha akijimwambafai mbele ya wanawake wenzie kuwa yupo madarakani mpaka 2030.
Swali langu ni kwamba, ameshajua kuwa atashinda uchaguzi wa mwaka huu?
Si anajitabiria mema.

Assume ni wewe, utajitabiria kimashaka mashaka?
 
Nimemsikia afande samia huko Arusha akijimwambafai mbele ya wanawake wenzie kuwa yupo madarakani mpaka 2030.
Swali langu ni kwamba, ameshajua kuwa atashinda uchaguzi wa mwaka huu?
Mbona CHADEMA wanasema No Reforms No Election, tafsiri yake ndiyo hiyo. Maana hawatashiriki uchaguzi hivyo kumfanya Samia akose mshindani
 
Tatizo pekee lililopo ni kuwa mwanadamu anapanga yake na Mola nae anapanga yake. Kwa bahati mbaya ya Mola hayapanguki. Sasa muache ajihashue kutokujua kumbe labda ukomo wa pumzi zake ni April tu, hata uchaguzi asiuone.
 
Nimemsikia afande samia huko Arusha akijimwambafai mbele ya wanawake wenzie kuwa yupo madarakani mpaka 2030.
Swali langu ni kwamba, ameshajua kuwa atashinda uchaguzi wa mwaka huu?

Ana uhakika wa kufanya Kimagufuli gufuli. 2024 kupitia Mkwe Mwenye Kifua Kipana walikuwa wanafanya majaribio yao. Kwa vile walifanikiwa kwa 100 % hiyo imempa confidence namna ya kufanikisha nwaka huu.

Lissu na No Reforms no Elections nafikiri ni time sasa Watuonyeshe ni jinsi gani itafanikiwa. Time is moving fast.
 
Nimemsikia afande samia huko Arusha akijimwambafai mbele ya wanawake wenzie kuwa yupo madarakani mpaka 2030.
Swali langu ni kwamba, ameshajua kuwa atashinda uchaguzi wa mwaka huu?
وَمَكَرُوا۟ وَمَكَرَ ٱللَّهُ ۖ وَٱللَّهُ خَيْرُ ٱلْمَٰكِرِينَ

"Wamakaruu wamakarallahu wallahu khayrul-makiriin"

"Na wao walipanga mipango yao, na Mwenyezi Mungu akapanga yake. Na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa wapangaji." Surat Al-Imran (3:54).

ITOSHE KUSEMA HAYO MANENO
 
Back
Top Bottom