Hawawezi mkuu!
Toka 2015 tuliwambia wapiganie tume huru wao wakaishia kujadili kingereza cha Magu
She is speak nonesense , muhutu must go
Akijihusisha na upuuzi wa kuiba kura cha kupoteza anacho bwana! Hiyo 80% ataisikia kwenye makaratasi na kama anadhani wanawake hawafungwi ajihusishe tuu.Makamu wa Rais huna cha kupoteza, utalipwa mshahara 80% mpaka unakufa. Lakini ujue watanzania hawatawarudisha na mwenzio. Ulikuwa mama wa kupigiwa mfano, umekaa karibu na jiwe umekuwa mgumu!
Usijifanye kujua kiingereza wakati hujui hata mtoto wa kindergarten anakushinda.Nothing, just we are in the campaign trail. Everyone has to fight for their side, and when they speak, the other side will always find offended. But in the end, its politics. After the election is over, you'll get surprised to learn that your view of her is essentially not changed much.
Ebu acha vitisho wewe, usiguswe we nani ?; labda kama umezaliwa na kukulia au kuishi kwa mda mrefu kati ya Wingereza, Marekani, Canada au Australia, kinyume na hapo usijitape hapa kwasababu nina uhakika kingereza chako ni cha kawaida kama hujazaliwa na kukulia kwenye hizo nchi au kuishi kwa kipindi kirefu. Kwahio tulia kama unanyolewa vile.
Tunamuangalia tu mkuu , tukifunguka asije akamlilia mtuNini mantiki ya yeye kuzurura mikoani ili kupiga kampeni kama anajua mshindi atapatikana bila kupigiwa kura?
Kwanini asitulie tu nyumbani kwake ili muwewe ampe haki yake ya unyumba?
Halafu utashangaa kuna wanaCCM watajitokeza kwenda kupiga kura.
Huu mda sio wa kukufundisha au kukusahihisha tunajadiri kauli iliyotuchefua ya hovyo kabisa ya huyo shangazi yako.So which part of the construction you exactly have found faulty?
Kifo cha nyani miti yote huteleza.Wameshasoma upepo kauli kama hizo huwa haziji hivihivi tu, the last kick of a dying horse.
Huyu mama sijui...ngoja ninyamazeView attachment 1601260
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Hahaha ndio maana upo ccm kwa umbumbu huu khaaa hata mwanangu wa darasa LA NNE anakutoa wajinga wengi wapo ccm afu kiingereza kama cha shilole vileI think you better point out the mistakes so I can perhaps make a remedy.
Waache waendelee kutupandisha hasira zaidiHuyu mama mpole nae anakuwa na kauli za kijinga kijinga hv ,kwel maccm yameshajiamin mno na yanamadharau
Pohamba. Una hakika ya wapinzani ndizo hazitatosha ?! .Yaan kura kutokutosha ni dhulma?
CCM ikitaka kuwa imara tusiogope kupoteza uchaguzi huu kwani hata mbegu huzaa sana baada ya kuwekwa aridhini ambako itachipuka na kuota tena na hatimae kuzaa zaidi.Kamanyola zilizojitokeza miaka miwili iliyopita, Chama kimepoteza confidence kutoka kwa wananchi na kupoteza matumaini.Tunahitaji kujijenga upya baada ya kushindwa katika uchaguzi huu.Chama kwa sasa kinajifanya kuwa hakijagawanyika,lakini ukweli uko dhahiriView attachment 1601260
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
This is very serious. She implies that there is no need for elections. It is CCM ever.View attachment 1601260
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Kama hujui kingereza andika kiswahili. Unatia aibu kama m/kiti wako.She has spoken very point because you know CCM is not you can't beat it. People a lot love it and they gonna vote for it no matter what