Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Tupe screenshot ya hio s21 utlaMimi nina S21 Ultra na 13 pro max ila naiona wazi tofauti ya Jumlisha na msalaba, usifanye utani na iphone. One thing ambayo iko wazi ni samsung kwenye Display na Camera ni moto!
Huwaoni kwenye hiiSamsung S22 Ultra vs Iphone 14 Pro Max Comparison.
Humu Iphone kachakazwa vibaya mno.
View attachment 2353393
Samsung[emoji91]Ni brand gani unaikubali kuanzia upande wa software zao, camera, battery life, video na durability. Binafsi Naikubali sana mnyama iphone ambaye hana mpinzani!
N.B WALE WA TEKINO NA INIFINIKSI CHONDE CHONDE NISIWAONE HUKU!
View attachment 2351211View attachment 2351212
Mtu anakuambia Iphone ina hardware ngumu na durable zaidi kuliko Samsung, while huyo Samsung anatumia Gorilla Glass Victus+ na Iphone ana a mere Gorilla Glass.Huwaoni kwenye hii
Glass front (Gorilla Glass Victus+), glass back (Gorilla Glass Victus+), aluminum frame | Glass front (Gorilla Glass), glass back (Gorilla Glass), stainless steel frame |
Wabongo bana.. Waulize sasa hiyo security wanalinda nini.Acheni Ufamba wa Kufananisha Simu za Kiume (SAMSUNG) Na hizo wa watoto wa Mama lialia (Iphone).
Msije Na Utetezi rahisi Rahisi wa kusema Iphone zina Security nzurii. Hamna lolote Hata SAMSUNG ukicheza na Setting mbona ina Security kali pia.
Hizo zenu zitabaki kuwa Simu za Show off tu ila hazina Maana yeyote kwanzia Camera na Ubora wa Simu kweny Mzunguko wa Matumizi ya simu kwa wakati mmoja
Anayebisha Aje Aniite Mbwa akiwa Na Iphone yake hata hiyo ya 14pro max itakayotoka kesho kutwa mimi nimesimama palee nikiwa na SAMSUNG NOTE 20 utra
Security za nini? Unatunza codes za Nyuklia? Android is the best to me. Huko kwa iphone kulinishinda ninatelekeza simu isiyonipa uhuru...my Sumsung is the best ever, na ikizingua nanunua Samsung ingineSecurity yao ni 0! How do you call it friendly user?
Tupe screenshot ya hio s21 utla
Wabongo bana.. Waulize sasa hiyo security wanalinda nini.
Wewe ni empty box [emoji403], hamna kituHuu uzi umevamiwa na watumiaji na wapenzi wa Samsung alafu wanaleta fujo. Twendeni kwenye facts sio kuleta hasira zenu kisa iphone inatawala kwa sasa!
Weka hapo kitu ambacho 13 pro max anamsizid samsung s22 ultra.. weka mezani sio mtazamo ,
NB. s21 ultra n toleo moja na iphone 12 promax, linganisha vitu vinavyo fanana, 13 pro max iende na s22 ultra
Samsung n Samsung period, just imagine 21 kuna vitu umekiri imezid 13 pro max je s22 ultra??? Umejipiga tobo mkuu
Shusha data
Endeleeni kulia cm mauzo hayaonekani. Iphone ni baba lao.View attachment 2353547