Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Samsung vs iPhone: Brand ipi ya simu unaikubali sana?

Nilichogundua hapa wengine wanapozungumzia Samsung wanazungumzia hizi mid-range Samsung kama A-series hizo ni kwa ajili ya wenye kipato cha chini. Na hapa Samsung yuko sahihi kwa sababu alitaka pia awe na soko kwa watu wa hali ya chini aende sawa na simu za Kichina kama Tecno, Infinix, Vivo, Xiaomi n.k

Samsung flagship phones ni balaa lingine hapa tunazungumzia sasa Galaxy S-series

iPhone anangoja hapo kwenye Galaxy S‐series

Ni vile tu iPhone ni Mmarekani anajua jinsi ya kuibrand bidhaa yake
Samsung ni android.

Hana tofauti na tecno.

Hilo ndo linamfanya watu wamuone hayupo serious.

Angekuwa na OS yake atleast watu wangempapatikia kama Apple.
 
Hakuna iphone yeyote inayo izidi chochote Galaxy s22 ultra iliyopo sokon kwasasa

Hata hizo iphone 14, hakuna kitu inaizidi samsung galaxy s22

Mnaenda nunua Samsung A series mnazitumia kama kipimo, njoo kwenye galaxy S series huku
Tupe technicalities za superiority ya samsung over iphone.

Isiwe blah blah tu.
 
1. Scanning ya documents bila kutumia 3rd part apps

2. Kutokatika kwa internet uliyoshare na vifaa vyako vingine kama laptop wakati simu inaita au unaendelea kutumia kwa mazungumzo.

Nadhani hizo features mbili kwenye Android hazipo. Kwangu mimi hizo features zinanifanya niiweke iPhone mbele ya simu zingine za Android.

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hii feature ipo kwenye samsung s10..
 
Inategemea na angles za kupiga picha. Kuna mwamba anaitwa marques brownlee hayupo biased kwenye kuchambua simu huyo ni mbaguzi!

Usiwe mpuuzi.

Nileteee video moja ambayo Marques Brownlee anafanya comparison ya Camera za simu.

Hao wote mimi nawaangalia sana ila tukishafika kwenye comparison ya Camera za simu ndio tunaingia kwa watu kama Ben, Tech chap, Mr. Whosetheboss, Ahmen Safwan[Super Saf], Boredatwork n.k..

Huwezi kunishauri eti nikaangalie review ya simu hasa Iphone kwa mtu kama iJustine halafu nitegemee kupata cha maana.
 
Hebu toa Elimu basi Mkijana!!!!..

Binafsi huniamishi Samsung..
Ni unatoka hapa... unaenda pale...Mulemule[emoji1787]
🤠🤠🤠 Nawaacha na ushamba wao wa simu. Sie watumiaji wa Bonta hapa tunawachora tu na maisha yanaenda, app zote muhimu zipo, sms zaingia na kutoka.. Ila ukikuta ka mtu kana vimba kwamba iOS user ni bora kuliko android ujue huyo wa kuja au kaotea kufanikiwa kupata pesa
 
Hebu toa Elimu basi Mkijana!!!!..

Binafsi huniamishi Samsung..
Ni unatoka hapa... unaenda pale...Mulemule[emoji1787]
Both iOS and Android architecture are similar in principle but differ in execution. Respective architecture clarifies how their apps function. Largely, Android architecture is perceived to be open as compared to iOS. Android adopts a Linux kernel, whereas iOS opts a BSD-derived kernel called Darwin.

Kutokea hapo mtu hapati shida ya hizi simi 🤠🤠 Zodwa ume mpeleka wapi
 
[emoji1783][emoji1783][emoji1783] Nawaacha na ushamba wao wa simu. Sie watumiaji wa Bonta hapa tunawachora tu na maisha yanaenda, app zote muhimu zipo, sms zaingia na kutoka.. Ila ukikuta ka mtu kana vimba kwamba iOS user ni bora kuliko android ujue huyo wa kuja au kaotea kufanikiwa kupata pesa
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Kwanza picha za Samsung huwezi kuzilinganisha hata kidogo na hayo makitu yao....

Usiku sasa...kuna watu hawawezi kupiga picha na hayo makitu...Maana wanajua...

Ila Samsung [emoji119][emoji119][emoji119]Anyway..Waacha tu waendelee kujitesa Aisee....siyo shida zetu[emoji28]
 
Both iOS and Android architecture are similar in principle but differ in execution. Respective architecture clarifies how their apps function. Largely, Android architecture is perceived to be open as compared to iOS. Android adopts a Linux kernel, whereas iOS opts a BSD-derived kernel called Darwin.

Kutokea hapo mtu hapati shida ya hizi simi [emoji1783][emoji1783] Zodwa ume mpeleka wapi
Kichwa kimeniuma ghafla[emoji28][emoji28][emoji28]
Yupo.. Zodwa unaitwa huku Baby girl..
 
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Kwanza picha za Samsung huwezi kuzilinganisha hata kidogo na hayo makitu yao....

Usiku sasa...kuna watu hawawezi kupiga picha na hayo makitu...Maana wanajua...

Ila Samsung [emoji119][emoji119][emoji119]Anyway..Waacha tu waendelee kujitesa Aisee....siyo shida zetu[emoji28]
🤠🤠🤠🤠 iPhone usiku ni vipofu. Mwisho wa siku hizi simu tunatumia kutokana na kazi flani, kuna issue iPhone ni nzuri sana na kuna issue Samsung ni nzuri sana.. Inafikia kipindi tunazitumia kutokana na nini nataka kufanya, ila sasa humu wanapenda show off na simu zenywe hizo iPhone wanavimba humu ni maused ndio wananunua
 
Watu hawana elimu pana ya Operating sysyem za simu au computer katika utendaji wake na architecture zake zilivyo. Wangejua hayo wange acha shobo za kuona iOS kama super sanaa
Mimi nikionaga mtu ana uelewa mdogo sana katika jambo tunaloargue huwa nakata tamaa sana hata kuzungumza naye.

Kama huyo anayesema Samsung ni sawa na Tecno kwa sababu zote ni android

Kazi kwelikweli
 
[emoji1783][emoji1783][emoji1783][emoji1783] iPhone usiku ni vipofu. Mwisho wa siku hizi simu tunatumia kutokana na kazi flani, kuna issue iPhone ni nzuri sana na kuna issue Samsung ni nzuri sana.. Inafikia kipindi tunazitumia kutokana na nini nataka kufanya, ila sasa humu wanapenda show off na simu zenywe hizo iPhone wanavimba humu ni maused ndio wananunua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanakuja...Na mimi sitaweza kukutetea..
 
Back
Top Bottom