National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sasa hivi umeondoa blich umewekq huo mtindo eeeh πππ una mikato ya hatari kama madam wangu mmoja hivyo.. Hiyo hair style huwa ni π₯π₯π₯ uwe umekula suluwale yako moja matata high heels isiyo umiza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ngoja waje uwa'sanitize
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hivi umeondoa blich umewekq huo mtindo eeeh [emoji6][emoji6][emoji6] una mikato ya hatari kama madam wangu mmoja hivyo.. Hiyo hair style huwa ni [emoji91][emoji91][emoji91] uwe umekula suluwale yako moja matata high heels isiyo umiza
Halafu hazipati joto zikiwa chaji hata kama zinekaa masaa zaidi ya sitaHizo simu zina vioo vigumu hatari, dondosha unavyotaka na chaji inakaa mno
Kioo na spare parts ukimaanisha price au...kama ni price unajua iphome 13 pro max display yake ni approx. 1MIphone ni simu nzuri sana ila inahitaji mtu mwenye hela, na kuifananisha na Huawei si sahihi sana. Ku-operate iTunes hela.
Binafsi kazi zangu zinanihitaji ku-download files kidogo, na kwa upande huo restriction za iphone zimenishinda kabisa, na samsung kwenye hilo nashukuru kwakweli imenikomboa.
Downside kubwa ya samsung ni kioo na spare parts ukilinganisha na iPhone.
Mkuu unaongea vitu gani hv? Mm nna flagship ya samsung 2 yrs ina corning gorilla 6 sijawahi kutumia screen protector na haina scrarch hata moja...imagine hz zenye gorilla victus durability yake ikoje.Hapo cm za iphone ni more durable than Samsung usipoweka screen protector kwenye samsung yako utaikimbia baada ya mwezi. Iphone ina screen ngumu haipati mikwaruzo kama Samsung hivo iphone mpaka sasa iphone wanaongoza 1-0 tuendelee!
Huyo iJustine kama jina lake lilivo ni iSheep kindakindaki[emoji2][emoji38]Usiwe mpuuzi.
Nileteee video moja ambayo Marques Brownlee anafanya comparison ya Camera za simu.
Hao wote mimi nawaangalia sana ila tukishafika kwenye comparison ya Camera za simu ndio tunaingia kwa watu kama Ben, Tech chap, Mr. Whosetheboss, Ahmen Safwan[Super Saf], Boredatwork n.k..
Huwezi kunishauri eti nikaangalie review ya simu hasa Iphone kwa mtu kama iJustine halafu nitegemee kupata cha maana.
Huyo iJustine kama jina lake lilivo ni iSheep kindakindaki[emoji2][emoji38]
Usiwe mpuuzi.
Nileteee video moja ambayo Marques Brownlee anafanya comparison ya Camera za simu.
Hao wote mimi nawaangalia sana ila tukishafika kwenye comparison ya Camera za simu ndio tunaingia kwa watu kama Ben, Tech chap, Mr. Whosetheboss, Ahmen Safwan[Super Saf], Boredatwork n.k..
Huwezi kunishauri eti nikaangalie review ya simu hasa Iphone kwa mtu kama iJustine halafu nitegemee kupata cha maana.
Kumbe hujui hata maana ya Flagship?Cm ambayo ilikuwa ni flagship miaka hiyo ni nokia ikaja blackberry. Then iphone took over. Iphone ukiangalia upande wa picture videos software security na hardware ni unique in it's way. Kama ni first time user wa iphone lazima ujione mshamba flani hivi unlike Samsung.
Ivi watu wa Iphone huwa mabando yenu mnayonunua yanatumika wp zaidi ya Kucheza na Mitandao ya Kijamii tu Haswa Haswa Istgram? Maana hamna hata uwezo wa Kununua zile Appy zao ninavyowajua Wabongo wa Iphone.
Siku zote ntazidi kuamini Iphone ni kwa Show off tu hamna zaidi. Halaf ukichaa mwingine asilimia kubwa wa Mic za Iphone ni mbovu, ukiwakuta wanavyoongea na simu sasa utafikiri wanatumia Radia Call anasikiliza masikioni akitaka kujibu anaileta Mdomoni anaongea ndo arudishe masikioni[emoji1787][emoji1787].
Acheni Shoo Off Karibuni SAMSANG tutawapokea kiroho safi maana tumechoka kuwa downlodia kila kitu na kuwarushia
Huawei imetulia sanaCwezi tumia mchina mkuu haswa Huawei ambao ni cm ya hovyo unanishangaza sana kama nawewe ni mtumiaji wa Huawei!
Uzuri wa iPhone uuzaji.. Hukosi hela ya haraka haraka. iPhone asubuhi unaweza sema unataka mteja mchana imeenda. Na sio kwa poromoko kubwa la beiukiweka samsung nzima hapa na iphone nzima pale,ntachukua samsung.
lakini ni mara 1000x nitumie iphone yenye tatizo kuliko samsung yenye tatizo hilo hilo.
mfano angalia scenario hizi.
1.iphone 11 ina cracke mbaya ikiwa na kioo cha amored ukionewa huruma sana kuuziwa andaa 500k
2.samsung s10 ina cracke mbaya sana,hata mteja wa 250k utamkosa.
hii ni kusema ni rahisi sana na nafuu iphone kutengenezeka kuliko samsung.
iphone nyingi zinaingia bongo zikiwa na matatizo mbali mbali lakini yanavumilika.
Uzuri wa iPhone uuzaji.. Hukosi hela ya haraka haraka. iPhone asubuhi unaweza sema unataka mteja mchana imeenda. Na sio kwa poromoko kubwa la bei