Sanamu ya Magufuli iwekwe kila uwanja wa ndege, KIA na Arusha pawekwe sanamu nne nne maana ndo kuna watalii wengi, pia Marangu sanamu moja, katikati ya mlima Kilimanjaro moja na sanamu za Magufuli mbili kileleni. Kusudi watalii warudi kwao wakiwa WAZALENDO.Hawa watu wanataka kutengeneza personality cult ya Magufuli.
Huu ujinga ukomeshwe mara moja.
Mbona hatuna sanwmu la Mkapa anywhere nchini?
Kwa hali hii hakuna haja ya kulipa kodi na rasmi naacha kudai risiti dukani kila mtu ashinde mechi zakeKawajengee kisima.
Hii nchi ngumu sana aisee.Hawa ndio viongozi tulionao wasiothamini jasho la watu kwamba anajiona ana haki na Wana stahili Sana kulipwa salary kwa ushenzi na matumizi mabaya ya pesa kama hivi.
Hivi punde nimeona wanakijiji wanagombea maji na vyura ,afu wengine wanachezea pesa
Korosho.Eleza biashara halali iliyokufa kwasababu ya Magufuli.
Hakika.Kwa hali hii hakuna haja ya kulipa kodi na rasmi naacha kudai risiti dukani kila mtu ashinde mechi zake
Wanataka waendelee kumuabudu“Usijifanyie sanamu ya kuchonga….” Hilo sanamu la nini sasa?
Kuna ulazima wa Katiba mpya haraka sanaHakika.
CCM Ni chama Cha kijinga Sana,
Kinaongiza wajinga na wafuasi wake Ni wajinga.
Wewe ni mjinga.kwani sanamu lina nini cha maana duniani hapa hadi watu walionee wivu.Tumia akili zako.Natarajia kuona watu fulani wakijinyonga kwa wivu wa kijinga na kipumbavu, kisa JPM kupewa baadhi tu ya hadhi yake
Shauri yao
Unadhani ni kwanini lile la Saddam Hussein lilivunjwa? Tena kuna wananchi walilipiga na kulichapa na malapa yao na fimbo pindi tu liliposhuka chini na wao kuweza kulifikia. Walihisi kama vile mimi anamchapa Saddam mwenyewe.We nawe hata sanamu unalionea wivu?
Kaaaah!
[emoji848][emoji867][emoji867][emoji867]
Chuki za nini.nani awe na chuki na ujinga.Wewe mwenye hayo mawazo mfu ndio unayeteseka.Sawa sana na wenye chuki binafsi shauri zao! Hiyo ni kumbukumbu nzuri kwa nchi yetu na kwa vizazi vijavyo. Kila la heri.
Africa ya kusini wana sanamu ya kila raisi hivyo si Tanzania tu! Na katiba ya RSA ni nzuri sana. Hivyo chuki yako usiiendekeze itakufanya kipofu, kiziwi na jinga.Ndio maana tunasema tunataka katiba MPYA!!
Magufuli katusababishia hasara kubwa ktk nchi hii, kaiba sana, kanyanyasa sana raia wa nchi hii na ujinga mwingine mwingi kafanya,
Kwa heshima gani hasa hadi pesa ya wananchi itumie kumjengea sanamu? Ndio maana waTanzania wengi hawalipi kodi, kodi tunalipa ila inaelekezwa kwa mambo ya kipuuzi na ya kishamba kama haya!?
Huu ujinga upo Tanzania tuu na ni sababu ya hii katiba butu na ya kikoloni tulio nayo.
Ni mtu mjinga tu anaweza kubeza mchakato wa katiba mpya.
Mkuu uzalendo wa kula majani huku wengine wakila nyama?Tuendelee kuwa wazalendo
Hata mkienda mkatambike nakugalagala uchi kabisa kwenye hilo sanamu hakuna mtu mwenye akili timamu atakeyebabaika na huo ujinga.Chadema mtakufa kwa pressure
Kama ni kweli basi wasisahau sanamu hiyo iwe imezungukwa na malaika
Kama ni kweli basi wasisahau sanamu hiyo iwe imezungukwa na malaika