Sanamu la Magufuli na ukarabati wa kumbi za kisasa kujengwa kwa Tsh milioni 420 viwanja vya Sabasaba

Wasije wakatengeneza kama lile alilotengeneza Kigwangalla kwa 400 ,watengeneze la waxy.



 
The good news ni kwamba tenda kama hizi huwa wanawahi akina fundi Maiko kisha tunapata katuni badala ya sanamu.
 
Ata kama ingekua inatumika elfu 2000,kujenga kinyago kwa ajili ya sababu iliyotolewa ni ujinga na matumizi mabovu ya fedha tena wakati huu tunaolalamika uchumi wa nchi hauko sawa.
 
Rubbish!
Nchi maskini..Akili za kimaskini!
Huu upupu utaisha lini!

Everyday is Saturday............................ 😎
 
Wakati wa maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi huko Marekani, masanamu kadhaa ya viongozi wa zamani waliojihusisha na biashara ya utumwa yaliharibiwa au kutolewa.

Sanamu la Magufuli likijengwa, siku moja litavunjwa na vijana watakaosoma historia mbaya ya Dikteta huyu ikiwa ni pamoja na maovu ya aibu aliyofanya kama vile kuteka,kutesa,kuua,ukabila,ukanda,udini,ufisadi wa kutisha,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake,kuua uchumi,kuua demokrasia,kuua uhuru wa kujieleza,wizi wa kura,wateule wake kufanya ubakaji na ulawiti kwa wananchi na kadhalika.


 
Wewe mna.. Magufuli kajenga vituo vya avya vingi kuliko awamu zote. So zahanati serkali inaendelea kujenga. Kaa kimya mna...
 
Tutaiporomosha chini siku tukipata uhuru wa kweli. Hiyo ilipata kutokea kule Iraq. Masanamu ya Saddam Hussein yalivunjwa yote.
Hivi kumbe nyinyi kweli ni malofa n a wapumbavu, Unataka kutuambia uhuru wa kweli ni nyumbu kutawala? Unashinda hapa unatukana unasema hauna uhuru? Unataka nini wewe kima?
 
Katiba hii iliyopo ilikanyagwa,hata mpya ikimpata wa hovyo ataikanyaga tu,Tumpe mama subira tumwombee aisimamie hii iliyopo mbona sio mbaya sana.
 
Jiandae siku zinahesabika mkuu kama sio wewe mtu wako wa karibu mbwa wewe. Unafikiri hutakufa?
Kwani mimi nikifa nina shida gani?Kwani nimeteka,kutesa,kuua,kufanya ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuiba kura,kubaka na kulawiti kama Magufuli?
 
Kwani mimi nikifa nina shida gani?Kwani nimeteka,kutesa,kuua,kufanya ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi,kuiba kura,kubaka na kulawiti kama Magufuli?
Ina maana Magufuli alikufanyia yote hayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…