Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
- #21
Chadema mtakufa kwa PressureAlivyokuwa anapenda sifa huyo mkuu wa tan trade angemteua na kumpa uwaziri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mtakufa kwa PressureAlivyokuwa anapenda sifa huyo mkuu wa tan trade angemteua na kumpa uwaziri
Kwa msingi na mantiki hiyo basi ni vizuri aidha usiweke bango lolote humu JF au ukaandike ambao watu/mtu hata comment au kuuliza! Vinginevyo utajibiwa tu, aidha kwa kukufurahisha au kwa kukukera.Usitake kutembea kwenye njia yangu kwa sababu ya furaha yako. Tengeneza furaha yako bila kutegemea watu/mtu.
Yule alikua raisi wa Umma pia.Jengeni kwa hela zenu sio za umma.
Kwanza alichaguliwa na nani?Yule alikua raisi wa Umma pia.
Tuendelee kuwa wazalendoHii ndio n nchi yangu bana
Wanakijiji cha LIANGWENI songea vijijini hawana hata zahanati toka nchi ipate uhuru na zinahtajika milioni 120 tu kumalizia jengo lao na vifaa mwaka wa tano Sasa hakuna msaada
Lakn sanamu lisilo na tija linajengwa kwa milion 450
Kile kinachokupa furaha kifanye ila kwangu mimi sipo hapa kukufurahisha. Bahati mbaya sana unapambana na mtu asiyeelewa katika kile unachokiamini.Kwa msingi na mantiki hiyo basi ni vizuri aidha usiweke bango lolote humu JF au ukaandike ambao watu/mtu hata comment au kuuliza! Vinginevyo utajibiwa tu, aidha kwa kukufurahisha au kwa kukukera.
Nadhani wewe si mwenyeji wa huko na naamini huishi huko, vinginevyo, unapaswa kujua kuwa hicho kijiji cha Liangweni kimetengewa fedha kiasi cha shilingi 210milioni kwa ajili ya hiyo zahanati, madawa na vifaa tiba. Kama hujui cheki na Mbunge wako au TAMISEMI.Mtakufa kwa pressure nyau nyie
Na wananchi wa TanzaniaKwanza alichaguliwa na nani?
Mtakufa na pressure nyumbu nyie Jamaa anawanyima usingizi wakati hayupo nyamvafuuMungu ana maguvu sana,imagine alituondolea hii takataka!
🖕🖕🖕Mtakufa na pressure nyumbu nyie Jamaa anawanyima usingizi wakati hayupo nyamvafuu
Pole sana humu JF hatunaga "mapambano" ila tunakwenda kwa hoja, tena zile hoja zenye nguvu yaani tunakwenda kwa nguvu ya hoja na siyo kwa hoja za nguvu na za kufurahishana.Kile kinachokupa furaha kifanye ila kwangu mimi sipo hapa kukufurahisha. Bahati mbaya sana unapambana na mtu asiyeelewa katika kile unachokiamini.
Kwanza alichaguliwa na nani?
Mtakomaa nyie watoto wa msiokuwa na maadili yaani mtakufa na pressure kabisaHawa watu wanataka kutengeneza personality cult ya Magufuli.
Huu ujinga ukomeshwe mara moja.
Mbona hatuna sanwmu la Mkapa anywhere nchini?