Sanamu la Yesu halijachoka kupigwa na radi

Kwani huyu YESU uliyemuandika hapa unamfahamu mkuu?????? [emoji848]
 
Zile nyengine huwa zinapiga kikawaida.Hizi za hapa zinapiga kwa hasira kweli na huchagua muda watu wengi waone kama siku zile za kombe la dunia.Jee hupati ujumbe hapa

Ujumbe gani ulitaka wapate,mana hata huku kasulu radi zinapiga sana na zina ua kila mwaka ulitaka watu wa kasulu wapate ujumbe gani
 
Utakuwa ulifeli physics tu. Radi inafata the highest point. Sasa kwani hilo sanamu umeambiwa ndio Yesu? Mnafiq mkubwa wewe.
 
Ahsante kwa taarifa na inasikitisha sana...
 
Kula idi,acha makasiriko
Lugha in involve kila siku na biblia kila siku zinachapwa ili ziendana na mabadiliko ya lugha ili iwe rahisi kufikisha ujumbe kwa wasomaji. Sijui kwako hiyo verse inatengeneza hisia gani hata ukaamua kuileta hapa kama hoja.
Na zaidi hiyo verse imekuwepo karne nyingi kabla ya hata Yesu hajazaliwa ulivyo kichwa cheupe unahisi wakristo wamekopi kutoka kwenye kurani ambayo imetungwa juzi hapa tu.
May God have on you.
 
Kwa imani ya wakristo,yesu ni Mungu,
Kwa hiyo yesu ana amrisha radi ilipige sanamu lake?
 
Sanamu LA yesu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] walimuona wapi mpk wakapata physical features zake???
 
Kula idi,acha makasiriko
Hii hapa verse.
New international version. :-What will you do on the day of your appointed festivals, on the feast days of the LORD?

Hii kwa New living translation.

New Living Translation
What then will you do on festival days? How will you observe the LORD’s festivals?.

Hii kwa berean:-

Berean Standard Bible
What will you do on the appointed day, on the day of the LORD’s feast
Ni wapi umeona kuna neno iddi?.

Kiswahili asili yake pwani so wachapa biblia katika lugha ya kiswahili wakaamua kubadili neno (festival) na kuweka neno (idd) ili kuweka urahisi kwa msomaji.
Hayo mengine ni ujinga wako.
 
Unataka kusema YESU anapigana na radi ?
Sio anapigana.Bali anapigwa kila siku mpaka anavunjika kichwa na vidole.Kwa heshima kubwa ya Yesu bora ateremshwe pale.Vyenginevyo waBrazili watamdharau sana.
 
Kwa Nini neno Pasaka walipate?

Neno idi Kwa Nini wakose?
 
Kwa Nini neno Pasaka walipate?

Neno idi Kwa Nini wakose?
Uwa mnafikiri kwa kutumia nini hasa?
Okay!! Mimi sina uwezo wa kushughulika na tatizo ulilonalo kichwani mwako. Dhumni langu ni kukuonyesha kuwa " fikiri yako ina makosa" na sina uwezo wa kukutoa kwenye ilo dimbwi la ujinga ulilomo.
SHAURI YAKO.
 
Jengo lolote refu lazima lipigwe radi. Sio supernatural effect na kwanza hili sanamu halina sura ya Yesu ni just nadharia.
🤷‍♂️🤷‍♂️ si kila jengo refu lazima lipigwe na radi pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…