mbegubora29
JF-Expert Member
- Mar 14, 2015
- 513
- 338
Kumbe ni kitu sio yesuuu aaagh mbona maajabu sasaHujasoma hata physics,kitu chochote kirefu katika ardhi huwa ndio cha kwanza kupokea radi ili kusafirisha postive and negative charge kati ya mawingu na ardhi,kasome static electricity utelewa zaidi.
Hivyo hiyo sanamu ni object ndefu hivyo kupigwa na radi kitu cha kawaida,kumbuka pia huo ni sanamu kama sanamu zingine tu.
Mmmh yote sawa tu mkuu Hali ya kuwa ni mwadam au kiumbe huwez ikwepa dini yaan sawasawa upewe gar hlf na manual ya kutumia hiyo gar kutoka kwa mtengenezaji hivyo utalazimika tu kunitumia mfano amekwambia injin weka mafuta unadhan ukiweka maji itakuwaje kwahy hakuna namna ya kukwepa dini ktk maisha yakoHamna kitu kinacho ni kera kama kuingiza dini zingine kwenye mada zisio husika na dini hiyo, kama wale wameamua kutegeneza sanamu lao na kuliabudu sawa tu akili zao ndo zinaona ni sahihi, hapa major subject ni Radi ya kila mara kupiga hilo sanamu la Mungu wao.
Hili wataelewa watu wenye akili tu!Zile nyengine huwa zinapiga kikawaida.Hizi za hapa zinapiga kwa hasira kweli na huchagua muda watu wengi waone kama siku zile za kombe la dunia.Jee hupati ujumbe hapa
Kutoka 20:4-6 SRUVSanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.
Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.
Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.
Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.
Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.
Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,
Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.
Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu
HaswaaaKwa hiyo tuijadili radi kwa nn inapiga pale hasa maeneo ya kichwani? Na kwa nn haipigi miguuni
Mbona jdege hazipigwi na radiJengo lolote refu lazima lipigwe radi. Sio supernatural effect na kwanza hili sanamu halina sura ya Yesu ni just nadharia.
Lengo lao ni nn sasaSanamu halijengwi ili liweke uvunguni bali sehemu ya juu ili linonekane bila kujali athali kuwepo kwake hapo.
Ndiyo maana katika kadhia hiyo yote hawajawai plan kulishusha.
Lile jengo la dubai lingeshadondoshwa siku nyingiJengo lolote refu lazima lipigwe radi. Sio supernatural effect na kwanza hili sanamu halina sura ya Yesu ni just nadharia.
Kwahy mungu huyu wa kikundi fulani eeeh!?Huenda walio chonga hilo sanamu la Mungu wao walikua na malengo ya kuzuia radi isifikie watu au msitu huo, na kuchoma, wakaona bora ishuke kwa Mungu wao mwenye mwenye kuleta radi.
Inatoka kwa Nan!? Na huyo hapo mwenye sanam km Nan?Ni natural disaster.......mkuu
Sijapata hojaSanamu kubwa kuliko yote duniani ni lile la Yesu amani imshukie ambalo lipo juu ya mlima Corcovado pembezoni mwa jiji la Rio de janairo nchini Brazil.
Sanamu hilo limo ndani ya mbuga ya Tijuca na ni ubunifu wa kanisa katoliki la nchini humu.Lina ukubwa wa karibu futi 100 kwenda juu.Likiwa juu ya mlima huo karibu futi 2000 kutoka usawa wa bahari linalifanya sanamu hilo lionekane kirahisi na kila mkaazi na mtembezi wa jiji hilo kuu la Brazil.
Fikra za kujengwa sanamu hilo kubwa ili kila mtu alione zilianza mwaka 1850.Hata hivyo uamuzi rasmi wa kuanza ujenzi wake ulifikiwa mwaka 1921 na ujenzi wake kuanza mwaka uliofuatia,Mainjinia wa Brazil na Ufaransa walishirikiana mpaka ulipokamilika ujenzi wake.
Sanamu hilo lilimuonesha Yesu akiwa ameshika msalaba mkubwa mkono wake mmoja na dunia kwenye mkono wa pili.Pamoja na akili nyingi zilizotumika kufanikisha kazi hiyo lakiini iliishia kwa watu kulifanyia dhihaka kwamba Yesu ameshika mpira.
Baada ya utafiti mwengine kufanyika ya eneo jipya kujengwa karibu yake,sanamu nyengine yenye uzito wa tani 635 lilijengwa na kumalizika miaka 10 baadae hapo mwaka 1931 safari hii likimuonesha Yesu akiwa amekunjua mikono yake kama anayeamkiana au kukaribisha watu.
Mwaka 2007 juhudi kubwa zilifanyika ili kuliingiza sanamu hilo katika maajabu ya dunia. Mwanzoni watu waliweza kulifikia kwa kupanda vidaraja vyake vingi. Kwa sasa imekuwa rahisi kwa kutumia garimoshi na hata gari pamoja na ngazi za umeme,
Mwaka 2014 wakati wa kombe la dunia la mpira wa miguu lililofanyika nchini humo radi kubwa ililipiga sanamu hilo muda mfupi kabla kombe kuanza na kuharibu kichwa chake na mikono. Kwa haraka sana matengenezo yalifanyika na kulirudisha katika hali ya muonekano mzuri.
Tukio la mwaka huo lilikuwa ni kama mwanzo tu kwani mara kadhaa radi zmeliandama sanamu hilo kiasi kwamba kwa sasa limejengewa vifaa maalumu vya kuzuia radi. Pamoja na hivyo radi hazijakoma kulipiga sanamu hilo hasa maeneo ya kichwa.Tukio la karibuni ni lile la Februari 10 mwaka huu
Kila kiumbe hai kitakufa hivyo ulishafika wkt hata uweke Kinga za namna gan huwez zuia mauti hivyo ndo majib mepesi lkn km ulidhan earth rod ndo Kinga ya mauti osha ubongo wako isipokuwa wanadam wamejitahid kufanya asbab kwa kupewa elim na mola ya kupunguza Hilo jambohivi hizo "earth rod" huwa wanaweka kila jengo ? Kwa nn watoto wa shule za vijijini hufa na radi madarasani Hakuna "earth rod" ?
Ha ha ha haSanamu kama hizo zinamchukiza Mungu wa kweli, labda kwa Mungu wa mchongo.
Lazima ateseke pale jamii inapoangamia kwa kukosa akili mpaka wajenge sanam wakidhan ni mungu nahatmaye kachinjwa je dunia mbona haikubadilkaNitakuwa mchoyo kama sikukupa asante kwa kuweka historia yake hapa..
japo sijajua umeandika ukiwa nafsi umeikunjua au vipi maana nikikusoma katikati ya mistari naona kama kuna kuteseka fulani ndani yako.
Hakuna anayemfaham yesu wowote kuliko ban Israel kwahy usije ufahar ulidhan wewe ndo muisraelKwani huyu YESU uliyemuandika hapa unamfahamu mkuu?????? [emoji848]
Lilijengwa kwa makusudio gan na Kama unafika bhas wale waliolijenga Ndo wanafiki wakubwaUtakuwa ulifeli physics tu. Radi inafata the highest point. Sasa kwani hilo sanamu umeambiwa ndio Yesu? Mnafiq mkubwa wewe.
Kwa hakikaAhsante kwa taarifa na inasikitisha sana...
Innalillah wainnalillah rajounKwa imani ya wakristo,yesu ni Mungu,
Kwa hiyo yesu ana amrisha radi ilipige sanamu lake?
Yah ni swali ambalo hkn mwenye Imani hiyo anaweza kujibuSanamu LA yesu[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] walimuona wapi mpk wakapata physical features zake???