Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Kubi wewe.
Ukristo unazungumza watu wavae hivyo peleka utahira wako huko kwa wapiga madufu wenzio.

Mavi mavi tu
 
Naishi nao huu mwezi wa saba sasa wanazungumza kiingereza tu.

Wanasali kiingereza, wanafanya mazungumzo kiingereza, wanatukana kiingereza, kila kitu kinafanyika kwa kutumia kiingereza.

Unataka kuueleza umma wa JF maneno allah na matakbir hayana kiswahili chake?
 
Shekhe Kipoozeo amesemaje kuhusu hili? [emoji41][emoji41][emoji41]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Wewe upo inchi gani? Tuanze hapo kwnza?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kna mtu anandaliwa ale mtr kiulaini
Kaupandia dau

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…