Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Watever the caseunazungumzia mtu mmoja halafu unamuita classmates , mlisoma nae utopolo sekondari ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuw na anavaa kwa kujistil sana hata hatukujuaHakuwa na mzigo?
Kaenda kuhalalisha matumizi ya 0719
Kapata dili la ndoa huyoMrembo maarufu mtandaoni Sanchword amebadili dini na kuwa muislam rasmi na kuitwa Surraiya Evarist Rimoy. Sanchi binti wa kichaga mwenye shepu matata amekuwa akifunga ramadhani wakati bado hajaingia kwenye uislam.
View attachment 1430793View attachment 1430794
Sent using Jamii Forums mobile app
ameona matajiri na masupastar wote bongo ni waislamu....MO, Bahresa, Gsm, Rostam Aziz, Diamond, Ali Kiba, Samatta, Wema, Shamsa, .. kaamua kufuata nyayo.
Duhhhh
Ma Shaa Allah basi Uislam ni "fashion" isiyochuja.Dini nayo kumbe ni fashion!
WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
Aliwahi kuwa Muislam huyo "muddy" wako?WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
Muddy huko aliko anajuta sana mkuu