Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Huyo amesaini kandarasi ya kutinduliwa mtaro baada ya kufikisha vigezo vya kimkataba. Na mkandarasi anayeitwa MtaroDestroyer Contractors Limited toka kwenye sehemu aliyohamia. Kandarasi itakamilika baada ya mkandarasi kuuchoka mtaro.
 
Mashaallah, kapendeza sana wallahi... isije kua anamchezea mungu then mfungo ukiisha anaanza tena kuanika mzigo wake hovyohovyo. Ila sheikhe aliyefanikiwa kumbadili huyo mwanamke anakipaji na anatakiwa kupewa tuzo ya heshima kutoka ikulu ya chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…