Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

CORONA BADO NI TATIZO MKUU,BARAKOA NA MAJI TIRIRIKA NI MUHIMU BILA KUSAHAU KUJIFUKIZA
Alhamdulillah. Waislam tunaijuwa faida ya maji kabla ya corona.

Na wengi sasa wataelewa kwanini Uislam umesisitiza watu kutawadha na kwanini hata msikitini Waislam hawaingii bila udhu (kunawa na kujiosha sehemu zote muhimu zinazoweza kugusa kiurahisi) na karibu mtaelewa kwanini huwezi kuingia msikitini na viatu.

Kumfundisha Muislam barakoa (burqa) ni kama upo Coco beach unauliza baharini wapi.

Hili ni vazi la stara ambalo Waislam tunalivaa kwa.miaka mingii tu, halitupi shida. Mpaka, ilifikia kwa kejeli tu, watu kutuuliza tunapumua vipi tukiivaa burqa (barakoa), naona sasa jibu wanalo.
 
Shkamoo....samahani bi faiza Ni nje ya mada kidogo..
.kule mbinguni wanaume wameahidiwa wanawake 72 wenye mizego na macho makubwa...nyie wanawake mmeahidiwa Nini...
 
hehehehee..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…