Sanchword abadili dini sasa kuitwa Surraiya Evarist Rimoy

Huu ni upumbavu wewe ni mjukuu wa yule jamaa aliyekuwa hajui kusoma.

Sanchi amewahi kuhudhuria ibada kanisa gani?
Na je alienda na mavazi gani?
 
Alhamdulillah. Waislam tunaijuwa faida ya maji kabla ya corona.
Sanitaiza huwa mnatumia?
Vipi na faida ya kuchambia mawe bado mwaijua?

Kwenye kiswahili sijawahi kuliona neno alhamudilal.

Na wengi sasa wataelewa kwanini Uislam umesisitiza watu kutawadha na kwanini hata msikitini Waislam hawaingii bila udhu (kunawa na kujiosha sehemu zote muhimu zinazoweza kugusa kiurahisi) na karibu mtaelewa kwanini huwezi kuingia msikitini na viatu.
Mnatawadha ili kujikinga na magonjwa? Je Koran imeyaainisha hayo magonjwa ni yapi au ya aina gani?

Hilo la viatu sahau, Israel wameshagundua chanjo ya Corona na hata isipofanikiwa, watu hawawezi kuamriwa kutembea peku au kuingia mahala fulani peku.
Biologically tutatengeneza tatizo jingine kubwa sana watu wana mifangasi miguuni, na kunawa hakuondoi fangasi.

Kumfundisha Muislam barakoa (burqa) ni kama upo Coco beach unauliza baharini wapi.
Burqa ndio Barakoa uko sawasawa kweli?

Hili ni vazi la stara ambalo Waislam tunalivaa kwa.miaka mingii tu, halitupi shida. Mpaka, ilifikia kwa kejeli tu, watu kutuuliza tunapumua vipi tukiivaa burqa (barakoa), naona sasa jibu wanalo.
Burqa na Barakoa ni vitu viwili tofauti.
Barakoa zinatumika mahospitalini miaka mingi sana.

Kuna athari za kutumia Barakoa moja kwa muda mrefu kubwa tu kama zile anazozipata mtu anayejifunika kichwa wakati wakulala.
Unaweza kutueleza hiyo burqa moja mnaivaa kwa muda gani kabla hamjavaa nyingine?

Na unafahamu kwanini kuvaa burqa mataifa yenye jangwa kuna faida nyingi kama Yemen, Saudia, Djibouti, Sudan, Qatar n.k kuliko kuvaa burqa San Diego?
 
Huyu dada kusema ukweli hapondeki, Surraiya hichi ni kibao chake

 
Huwezi kukijuwa Kiswahili kwani huna asili nacho.

Unaona ajabu mawe, huoni ajabu kuwa kama paka kunya mavi kujipaka?

Mwenzenu kaiona Nuru ya Allah nyie mnapata mchechetu (phobia).

Allah amuepushe na hasad zenu na amjaalie azidi kuupenda, kuusoma na kuufata Uislam.
 
Sawa wagawa tiGo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…