Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SystematicallyPimbi kweli huyo anapewa hell ndogo anadhulumiwa halafu linakubali tu.
Sisi wenye sixth sense (macho matatu) tunaona kabisa Laizer anatumika kufanya Money laundering kupata pesa za uchaguzi.
Taasisi ya madini mnaingizwa chaka mkijua.
Kwaheli.
Laizernite au Sininiunite [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmmh kila siku anapata yeye tu
Basi ayo madini yaitwe laizer
Hilo linawezekana, maana uchaguzi huu sijasikia cha EPA wala Escrow. Hii ya Laizer inaweza kuwa ni mbadala wa fund raising.
Hakuna uzalendo hapo yaani miaka yoote Laizer ndio mchimbaji pekee. Yeye ndio anazidi mashirika na makampuni yanayochimba pale mererani?Nakuwa na wasiwasi kama haya cyo maigizo aiseee na pia kama ni uzalendo c atoe bure.
Nchi imegubikwa sana na sanaa, shida hakuna watengeneza script wazuri.Hakuna uzalendo hapo yaani miaka yoote Laizer ndio mchimbaji pekee. Yeye ndio anazidi mashirika na makampuni yanayochimba pale mererani??
Mtu mwenye $5M liquid Cash mnamuita mdogo, ila mfanyabiashara mwenye $15000 anaitwa mfanyabiashara wa kati na kila siku TRA wapo naye.
Siasa za hii nchi bhana.
Ni wakati wake tusimwonee wivuMmmh kila siku anapata yeye tu
Basi ayo madini yaitwe laizer
Kwa industry ya madini yeye ni mdogo!Me mwenyewe nineshangaa. Huwezi mwita Bilionea kama huyo mchimbaji mdogo. Kuna wachimbaji ambao miaka yote wanachimba kwa makarai, makoreo na machujio very locally na hawajawahi pata hata mil 20, sasa hao ni sawa na huyu jamaa? Je hao wengine wa kati na juu wote wanenpiga gap huyu Laizer?
Juzi nilileta uzi wangu wa hofu juu ya hilo mods wakauunganisha na liuzi lingine ila niliambulia matusi sanaIsijekuwa ameshayapata, ameyaweka ndani anayatoa tu kidogo kidogo, ndio ameanza miezi hii kuyatoa, bado yamejaa geto
Juzi nileta uzi humu huenda kaficha nilitukanwa sanaHuyu jamaa tayari ana hayo mawe. Anayauza strategically!
Uzi wangu juzi juu ya wasiwasi wangu kuwa kaficha mods waliiunganosha ila nilikosolewa sana nikaambowa eti ni wivuWATU WAMEMSHITUKIA TAYARI
Hajaficha ila kauchungulia mwamba!Juzi nileta uzi humu huenda kaficha nilitukanwa sana
Jamaa amekuwa fala sana siku hizi.Ohooooo TID atakushukia [emoji12][emoji12][emoji12]