Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

Kumbe wewe umekuwa sehemu ya mateso ya watanzania kwa muda mrefu
Story hii imenikumbusha mbali Sana

Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road

Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
u
 
Story hii imenikumbusha mbali Sana

Wakati wa Matukio haya nilikuwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya UV CCM Ilala Na Muajiriwa wa Hospital ya Ocean Road

Niliokuwa nao wote tu kubishana Na kujadili tukio hili wameshatangulia mbele Za Haki!
Hahahaa kumbe na wewe mhenga? Mi bado umri wangu ulikuwa single digit!! Na bado naitwa babu!
 
Sara alikuwa na akili ya kuiba ila hakuwekeza kwenye kujilinda.kakamatwa kizembe hata ajakula sanaa matunda ya Kazi yake.

Mapungufu ya akili ya kufundishwa (na Toroha) hayo!

Mara nyingi shetani hufanikisha hila zake kwa kutumia mwanamke kama chambo. This time aliamua kumtumia *mwanamme (Toroha)!

* = Hivi neno sahihi hapa ni mwanamme au mwanaume? Kama ni mwanaume, kwa nini “mwanamke” nayo basi isiwe “mwanauke”?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…