Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnyaUtopolo hii hata aje PSG atafungwa Tu.
Kucheza na utopolo ya sasa ni Sawa na kwenda na mwanamke geust ,,
Huku umekodi boda boda,,
bila kujuwa huyo dereva boda boda (GSM) ,
,ndy mume halali wa huyo mwanamke(TFF) unayekwenda nae guest..
Unadhani nn kitatokea?
Ndy maana mnyama(simba) alishtuka mapema Sana kwa hili.
Lakini haiondowi ukweli kwamba Mbao Mwanza ndio nyumbani kwao, yani hata gharama za usafiri wanaokolewa.Sasa hapo sifa ipo wakati umeambiwa kabisa uwanja wa taifa utakuwa na matumizi mengine? Sasa suala la yanga kuchagua uwanja hiyo imetokana na ukweli kwamba yanga ina mashabiki wengi zaidi Mwanza kuliko mkoa mwingine ukiachilia Dar.
Hiyo ni mikakati ya kuhakikisha ushindi unadhani kwanini hawakuchagua Jamhuri Dodoma ama Morogoro? Acha mihemiko. Dodoma ama Morogoro hana mashabiki wengi kiasi hicho bali Mwanza ambapo Yanga wana tawi lao pia ambalo ni Toto African ya Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee timu haziangalii nyumbani kwa timu pinzani. Mbao Mwanza ni nyumbani lakini mashabiki watakaojaza uwanja ni wa Yanga licha ya mbao kuwa nyumbani hivyo ile hamasa tu ya mashabiki inavhagiza wachezaji na timu kwa ujumla kuwa na morali ya mchezo.Lakini haiondowi ukweli kwamba Mbao Mwanza ndio nyumbani kwao, yani hata gharama za usafiri wanaokolewa.
Inabidi uwe shabiki maandazi tu usilione hilo.
[emoji1787][emoji28][emoji28] yani timu inayowakilisha nchi na serikali vizuri kimataifa unaiita hasara. Kweli uto mwenye wapo watatu haji manara na wale wazee wengine aliowatajaKama kisa ni uwanja wa Mkapa kutumika, basi lingekuwa Kolo hapo lingetaka mechi iahirishwe hadi February mwishoni. Kama taifa tuna hasara sana kuwa na hawa jamaa kwenye ligi yetu!
Tumewapunguzia mzigo Mbao fcSasa hapo sifa ipo wakati umeambiwa kabisa uwanja wa taifa utakuwa na matumizi mengine? Sasa suala la yanga kuchagua uwanja hiyo imetokana na ukweli kwamba yanga ina mashabiki wengi zaidi Mwanza kuliko mkoa mwingine ukiachilia Dar.
Hiyo ni mikakati ya kuhakikisha ushindi unadhani kwanini hawakuchagua Jamhuri Dodoma ama Morogoro? Acha mihemiko. Dodoma ama Morogoro hana mashabiki wengi kiasi hicho bali Mwanza ambapo Yanga wana tawi lao pia ambalo ni Toto African ya Mwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii imepangwa kiuchumi zaidi. Dar ingeonekana Mechi ya kawaida, lakini Mwanza ambayo haina timu premier League hii ni bonge la Mechi.Lakini haiondowi ukweli kwamba Mbao Mwanza ndio nyumbani kwao, yani hata gharama za usafiri wanaokolewa.
Inabidi uwe shabiki maandazi tu usilione hilo.
Tayari ameshajuwa kuna figisu na mazingira ya utopolo kuandaliwa ubingwa.baada ya mnyama simba kustukia mapema hili..alichukua hatua gani?? alijitoa kwenye ligi?
mnya
Hilo siyo la kuomba, maudhui yote ya timu ni mali ya Azzam, kwahiyo wanarekodi hadi mazoezi.Mimi ningeomba azam warushe na mazoezi ya yanga live tu.. Sisi tutafuatilia