Sasa hii ni Sifa, Yanga imeamua kuwafuata Mbao FC huko huko kwao, Mchezo Kupigwa CCM Kirumba

Sasa hii ni Sifa, Yanga imeamua kuwafuata Mbao FC huko huko kwao, Mchezo Kupigwa CCM Kirumba

Mzee timu haziangalii nyumbani kwa timu pinzani. Mbao Mwanza ni nyumbani lakini mashabiki watakaojaza uwanja ni wa Yanga licha ya mbao kuwa nyumbani hivyo ile hamasa tu ya mashabiki inavhagiza wachezaji na timu kwa ujumla kuwa na morali ya mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mashabiki wa Simba wataishangilia mbao. Unasemaje kuhusu hili?
 
Dar kuna viwanja viwili. Waache kutuchanganya kama vipi ofisi za tff zihamie huko huko gsm maana wameamua kuwa wamoja. Haiwezikani gsm wapange ratiba za mechi au kupanga wakachezee wapi. Mbao wameambiwa watapewa 10M na kiingilio chote chao. Kama waliweza kuhamisha ofisi zao kwenda gsm, nasema hata tff nae asione aibu ahamie tu kama Yanga alivyofumba macho maana wote wanazaminiwa na mpuuzi mmoja. Tumezoea kwani hata enzi za Malinzi walihamisha ofisi kwenda kwa Manji, kama ilivyokuwa mwaka ule mliweza kumtoa Ndanda Mtwara na kumleta Dar basi hakuna jipya.
Yanga msisahau sana Kumshangilia Mayele, Makambo na Chiko, kwani ni bora tuungane kumshangilia Kibu denis ili na sisi next AfCON tuwe na timu yetu. GSM anaua Taifa Stars haiwezikani wachezaji watatu tu wachezea timu ya Taifa. Wakati huo Simba ni Manura,Kapombe,Shabalala,Kenedy,Mkude,Dilunga,Mzamiru,Boko,Kibu Denis na Nyoni. Hesabu hao 11.
MAGODORO NA MPIRA WAPI NA WAPI? Ufundi mbao huo
 
Dar kuna viwanja viwili. Waache kutuchanganya kama vipi ofisi za tff zihamie huko huko gsm maana wameamua kuwa wamoja. Haiwezikani gsm wapange ratiba za mechi au kupanga wakachezee wapi. Mbao wameambiwa watapewa 10M na kiingilio chote chao. Kama waliweza kuhamisha ofisi zao kwenda gsm, nasema hata tff nae asione aibu ahamie tu kama Yanga alivyofumba macho maana wote wanazaminiwa na mpuuzi mmoja. Tumezoea kwani hata enzi za Malinzi walihamisha ofisi kwenda kwa Manji, kama ilivyokuwa mwaka ule mliweza kumtoa Ndanda Mtwara na kumleta Dar basi hakuna jipya.
Yanga msisahau sana Kumshangilia Mayele, Makambo na Chiko, kwani ni bora tuungane kumshangilia Kibu denis ili na sisi next AfCON tuwe na timu yetu. GSM anaua Taifa Stars haiwezikani wachezaji watatu tu wachezea timu ya Taifa. Wakati huo Simba ni Manura,Kapombe,Shabalala,Kenedy,Mkude,Dilunga,Mzamiru,Boko,Kibu Denis na Nyoni. Hesabu hao 11.
MAGODORO NA MPIRA WAPI NA WAPI? Ufundi mbao huo
KMC wakihamisha mechi zao huoni shida ila Yanga povu linakutoka
 
Mchezo wa kuwania kombe la Shirikisho ASFC utapigwa uwanja wa CCM Kirumba Mwanza 29, January,2022 hii no kwa mujibu taarifa toka TFF.
Mchezo wa kuwania kombe la Shirikisho ASFC utapigwa uwanja wa CCM Kirumba Mwanza 29, January,2022 hii no kwa mujibu taarifa toka TFF.
Kwaneri Utopolo.
Save the date please.
 
Yanga Yanga Yanga nawaita mara tatu...msijiamini kupita kiasi!
 
Dar kuna viwanja viwili. Waache kutuchanganya kama vipi ofisi za tff zihamie huko huko gsm maana wameamua kuwa wamoja. Haiwezikani gsm wapange ratiba za mechi au kupanga wakachezee wapi. Mbao wameambiwa watapewa 10M na kiingilio chote chao. Kama waliweza kuhamisha ofisi zao kwenda gsm, nasema hata tff nae asione aibu ahamie tu kama Yanga alivyofumba macho maana wote wanazaminiwa na mpuuzi mmoja. Tumezoea kwani hata enzi za Malinzi walihamisha ofisi kwenda kwa Manji, kama ilivyokuwa mwaka ule mliweza kumtoa Ndanda Mtwara na kumleta Dar basi hakuna jipya.
Yanga msisahau sana Kumshangilia Mayele, Makambo na Chiko, kwani ni bora tuungane kumshangilia Kibu denis ili na sisi next AfCON tuwe na timu yetu. GSM anaua Taifa Stars haiwezikani wachezaji watatu tu wachezea timu ya Taifa. Wakati huo Simba ni Manura,Kapombe,Shabalala,Kenedy,Mkude,Dilunga,Mzamiru,Boko,Kibu Denis na Nyoni. Hesabu hao 11.
MAGODORO NA MPIRA WAPI NA WAPI? Ufundi mbao huo
KMC wanapeleka mechi zao za ligi mkoa wanaojisikia, Yanga kupeleka mechi mwanza imekuwa nongwa
 
Mashabiki na wapenzi wa yanga mnapaswa kuwa na adabu kwenye mpira wa miguu, baadhi yenu mnaweza siku moja kufa kwa mshtuko wa moyo au kuugua presha, msiikabidhi timu yenu haki miliki ya kushinda kila inapocheza uwanjani
Kunywa maji mengi mkuu Yanga haikamatiki
 
Dar kuna viwanja viwili. Waache kutuchanganya kama vipi ofisi za tff zihamie huko huko gsm maana wameamua kuwa wamoja. Haiwezikani gsm wapange ratiba za mechi au kupanga wakachezee wapi. Mbao wameambiwa watapewa 10M na kiingilio chote chao. Kama waliweza kuhamisha ofisi zao kwenda gsm, nasema hata tff nae asione aibu ahamie tu kama Yanga alivyofumba macho maana wote wanazaminiwa na mpuuzi mmoja. Tumezoea kwani hata enzi za Malinzi walihamisha ofisi kwenda kwa Manji, kama ilivyokuwa mwaka ule mliweza kumtoa Ndanda Mtwara na kumleta Dar basi hakuna jipya.
Yanga msisahau sana Kumshangilia Mayele, Makambo na Chiko, kwani ni bora tuungane kumshangilia Kibu denis ili na sisi next AfCON tuwe na timu yetu. GSM anaua Taifa Stars haiwezikani wachezaji watatu tu wachezea timu ya Taifa. Wakati huo Simba ni Manura,Kapombe,Shabalala,Kenedy,Mkude,Dilunga,Mzamiru,Boko,Kibu Denis na Nyoni. Hesabu hao 11.
MAGODORO NA MPIRA WAPI NA WAPI? Ufundi mbao huo
Pole sana kwa maumivu unayopitia.
Timu ya wananchi inapasua anga
 
Dar kuna viwanja viwili. Waache kutuchanganya kama vipi ofisi za tff zihamie huko huko gsm maana wameamua kuwa wamoja. Haiwezikani gsm wapange ratiba za mechi au kupanga wakachezee wapi. Mbao wameambiwa watapewa 10M na kiingilio chote chao. Kama waliweza kuhamisha ofisi zao kwenda gsm, nasema hata tff nae asione aibu ahamie tu kama Yanga alivyofumba macho maana wote wanazaminiwa na mpuuzi mmoja. Tumezoea kwani hata enzi za Malinzi walihamisha ofisi kwenda kwa Manji, kama ilivyokuwa mwaka ule mliweza kumtoa Ndanda Mtwara na kumleta Dar basi hakuna jipya.
Yanga msisahau sana Kumshangilia Mayele, Makambo na Chiko, kwani ni bora tuungane kumshangilia Kibu denis ili na sisi next AfCON tuwe na timu yetu. GSM anaua Taifa Stars haiwezikani wachezaji watatu tu wachezea timu ya Taifa. Wakati huo Simba ni Manura,Kapombe,Shabalala,Kenedy,Mkude,Dilunga,Mzamiru,Boko,Kibu Denis na Nyoni. Hesabu hao 11.
MAGODORO NA MPIRA WAPI NA WAPI? Ufundi mbao huo
Punguza makasiriko KMC wamezunguka mpaka Tabora huko hakuna malalamiko ila Yanga sasa mapovu kama yote
 
Ila mashabiki wa yanga mwaka huu tuna raha sana na tuachiwe tu nchi yetu nyie wengine nendeni hata Burkina Faso huko🤣
 
Sasa kama Timu yetu Iko vizur na tu aiamini unataka tufanyane..? Kwanza hata katika maisha hakuna kukataa tamaa, "jipe moyo utashindwa" na ndo sababu inatufanya sisi tushinde Kila me hi.. homa kwenu Makolo hamna Timu mwaka huu na Kesho mnaenda kufungwa au kudraw huko kagera
Mashabiki na wapenzi wa yanga mnapaswa kuwa na adabu kwenye mpira wa miguu, baadhi yenu mnaweza siku moja kufa kwa mshtuko wa moyo au kuugua presha, msiikabidhi timu yenu haki miliki ya kushinda kila inapocheza uwanjan
 
Kama kisa ni uwanja wa Mkapa kutumika, basi lingekuwa Kolo hapo lingetaka mechi iahirishwe hadi February mwishoni. Kama taifa tuna hasara sana kuwa na hawa jamaa kwenye ligi yetu!
Waliowabeba mara 2 champions lg lakini mkatia aibu. Bambavuuuu.
 
Back
Top Bottom