Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kichaa kimekupanda?Hebu tugawie hizo pesa.Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Hela zipo kwa wenye connection na raia namba 1 iwe chawa au mteule.Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Lakini,bado haituwezeshi kupiga kampeni uchwara JF.Kama hupiti piti Goba, Mbweni, Bunju, Kigamboni, Chole Road na Barabara ya Coco Beach huwezi kumuelewa mtoa mada.
Inaonekana hukuwahi kuishi katika enzi za Mwinyi weweWatu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Na Kuna Watu hawana pesa hadi wanashindia muhogo mbichi uliopakwa pilipili ya UNGA na chumvi! Kila kukicha afadhali ya jana😭Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Kweli, Mwinyi kipindi anatawala nilikuwa mdogo sana,sikujua chochoteInaonekana hukuwahi kuishi katika enzi za Mwinyi wewe
Hatari.Pita Bagamoyo roads (old na hii ya sasa) ni hatari.
Majengo yameota kama uyoga.
Mbezi Beach a kwa Zena pamechange sana, Africana, Tegeta, Boko mpaka Mbweni ni kama mvua ya majengo inanyesha.