Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia

Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia

Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
hapa naunga unga kila kitu ajabu kuna wewe unadai mambo mtaani safi “hii ni kauli ya kijana alieng’ang’ania dar na majijini wakati huko mipakani kuna fursa nyingi wazalendo hawazitaki zote zimezolewa na wahamiaji majirani zetu.”
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
True
 
Kama hupiti piti Goba, Mbweni, Bunju, Kigamboni, Chole Road na Barabara ya Coco Beach huwezi kumuelewa mtoa mada.
Naona Mbweni,Bunju ina balaa sana aisee daah niliwahi peleka gari kwa bwana mdogo mmoja huko Tanzania ipo pale imeota utadhani sio sehemu tulizokua tunacheza zikiwa mapori ya korosho juzi tu hapa..
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Weee mwendawazimu!
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Uislam mwema sana.

Tuliokuwepo wakati wa Mwinyi tuliyashuhudia hayo.

Wakati wa Kikwete tukayashudia tena.

Sasa kwa mama Samia, asiye na macho haambiwi tazama.

Ma shaa Allah.
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Sioni sababu ya wewe kutomsifu kwa kugawa pesa kama ndafu ya harusini.
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Uislam mwema sana.

Tuliokuwepo wakati wa Mwinyi tuliyashuhudia hayo.

Wakati wa Kikwete tukayashudia tena.

Sasa kwa mama Samia, asiye na macho haambiwi tazama.

Ma shaa Allah.
 
Back
Top Bottom