Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hakika umesema kweli kuna watu wana pesa daah ni hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo ilivyo shee watu hawawezi kufanana hii inatokana na the way you think hatuwezj kufikiri sawa.Na Kuna Watu hawana pesa hadi wanashindia muhogo mbichi uliopakwa pilipili ya UNGA na chumvi! Kila kukicha afadhali ya jana😭
Sijui ww mwenzetu unazo na za kufurika?
Kama ndio tupe maokoto...
hapa naunga unga kila kitu ajabu kuna wewe unadai mambo mtaani safi “hii ni kauli ya kijana alieng’ang’ania dar na majijini wakati huko mipakani kuna fursa nyingi wazalendo hawazitaki zote zimezolewa na wahamiaji majirani zetu.”Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
TrueWatu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Naona Mbweni,Bunju ina balaa sana aisee daah niliwahi peleka gari kwa bwana mdogo mmoja huko Tanzania ipo pale imeota utadhani sio sehemu tulizokua tunacheza zikiwa mapori ya korosho juzi tu hapa..Kama hupiti piti Goba, Mbweni, Bunju, Kigamboni, Chole Road na Barabara ya Coco Beach huwezi kumuelewa mtoa mada.
Weee mwendawazimu!Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Angalia pia zinazofungwakweli, kiashiria cha kwanza huwa naangalia wingi wa frame za biashara mpya.
Watuambie tuzifuate na sisi.Hizo pesa ziko mtaa gani nyie was ukimaliza hash tag #⃣
Uislam mwema sana.Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Sioni sababu ya wewe kutomsifu kwa kugawa pesa kama ndafu ya harusini.Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Uislam mwema sana.Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Vile vipindi ambavyo mtumishi wa umma anadharaulika ndio vinarudi sasa.Ni kweli. Mjni tukipita na bajaji zetu tunapishana na ma lexus lx, gx, landcruiser zx, g wagon za milioni 900, defender matoleo mapya za milioni 300+, rangerover za kumwaga, ma escalade ya kutosha..