Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia

Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia

Matumizi ya fedha za Serikali lazima yaidhinishwe na Bunge.
Yule mtu mmoja juzi ameuza gari lake na nyumba yake ili aweze kuwekea figo, halafu Ile operation haikwenda vizuri.
Hakuna uwazi katika matumizi ya Serikali,ndio Mpina alikuwa anasema Bungeni wiki iliyopita.
Katika familia kama fedha zinatumika without consultation,how can the family survive?
 
Kweli, Mwinyi kipindi anatawala nilikuwa mdogo sana,sikujua chochote
Kuwasha sigara watu walikuwa wanatumia noti za shilingi ishirini. Noti inawashwa mot diyo inapelekwa kuwasha sigara.
Serikali ilimuwa haina hela, hela zilikuwa mikononi mwa watu.
Mwisho wa mwezi unafika, mishahara ya kulipa wafanyakazi wa sserikali hakuna, wanajitokeza wafanyabiashara wachache wanachangishwa ndipo inapatikana hela ya kulipa mishahara, ikifika tarehe 45 (Tarehe Arobaini na tano) mishahara inaanza kulipwa. Wengine walikuwa wanakaa miezi hadi mitatu hawajalipwa
 
kweli pesa ya kujenga Barabara km50 wanagawana watu watano,watakosa pesa hao au ya kujenga shule inaliwa na watu watatu tu,pesa zipo bwana. miradi Ina ahirishwa Kwa visingizio mbalimbali ili fedha ichepushwe.
Aisee hii comment yako mbona inaumiza sana mzee?

Mimi huwa najiulizaga hivi Hawa mafisadi huwa wanajiskiaje wanapopita mitaani na kuona barabara mbovu na watoto wetu wanasoma kwenye shule ambazo hazina vyoo vya kutosha Wala madawati, wakati huo wenyewe wakiwa kwenye magari yao binafsi ya 400m waliyonunua kwa pesa walizoiba serikalini???? Hivi huwa wanapataje usingizi wakifahamu fika kabisa hata wao ni sababu ya taifa hili kuendelea kuwa maskini?
 
Aisee hii comment yako mbona inaumiza sana mzee?

Mimi huwa najiulizaga hivi Hawa mafisadi huwa wanajiskiaje wanapopita mitaani na kuona barabara mbovu na watoto wetu wanasoma kwenye shule ambazo hazina vyoo vya kutosha Wala madawati, wakati huo wenyewe wakiwa kwenye magari yao binafsi ya 400m waliyonunua kwa pesa walizoiba serikalini???? Hivi huwa wanapataje usingizi wakifahamu fika kabisa hata wao ni sababu ya taifa hili kuendelea kuwa maskini?
unaumia wewe wao wanaona ndiyo vizuri lzm tofauti iwepo.ndiyo hao wanaoshangilia mama anaendesha nchi kidemokrasia na kupika data za uchumi kupanda, uchumi kuimalika,wakati shilingi yetu inaporomoka,inflation ikikua
Aisee hii comment yako mbona inaumiza sana mzee?

Mimi huwa najiulizaga hivi Hawa mafisadi huwa wanajiskiaje wanapopita mitaani na kuona barabara mbovu na watoto wetu wanasoma kwenye shule ambazo hazina vyoo vya kutosha Wala madawati, wakati huo wenyewe wakiwa kwenye magari yao binafsi ya 400m waliyonunua kwa pesa walizoiba serikalini???? Hivi huwa wanapataje usingizi wakifahamu fika kabisa hata wao ni sababu ya taifa hili kuendelea kuwa maskini?
afrika mchawi wetu ni viongozi wetu
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.

Vipi mikoani, vijijini wana hali gani wanapoishi Wananchi wengi na uswahilini?
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Mtoto wa buku mbili enzi za Kikwete ulikuwa kindergarten
Nikwambie tu kwamba asilimia kubwa kuna watu walikuwa maisha yao ni starehe tu huwezi jua ni mda gani wanafanya kazi ni mwendo wa bata tu dili zinafanyika bar kwa simu na bata linaendelea
Saa nne tu asubuhi raia kibao wako bar
Wanatumia
 
Watu wana pesa jamani.
Kama za majini au za madili Mimi sijui ninachojua ni kwamba watu wana pesa sana.
Yawezekana mifumo ya sasa ni rafiki kwa watafutaji.
Tuombe Mungu asitokee tena mtu kama Magufuli aliyevurugavuruga uchumi wa wananchi na wananchi wakamshangilia.
Siko hapa kumsifia Rais Samia, Mimi sijawahi kumsifia binadamu mwenye pumzi kama Mimi.
Umezionea wapi nduguutoe konekksheni na sisi tuonje moo huto tuhelahelaa?
 
Back
Top Bottom