Sasa hivi kuna pesa kama takataka, tangu tupate uhuru hakuna kipindi watu wanaogolea kwenye pesa kama sasa kipindi cha Samia


Yaani ukitaka kujua hili, pita au ongea na wafanyakazi wa Halmshauri nyingi. Hawa jamaa hakuna wanachofikiria zaidi ya kuiba, na wao wameona hili ni swala la kawaida na lazima kabisa kama vile kujisaidia.

Wakurugenzi, yaani top to bottom , watu ni kama chawa. Soma ripoti ya CAG utaelewa ukubwa wa hili tatizo.
 
Hizo pesa ziko kwa hao hao wanaozishikilia! kina ss huku chini hali ni mbaya kuliko jana! Sisi wakulima mazao yanaozea ndani!!😳😳😳 Pembejeo za kilimo bei juu! Tunaomba mfungue masoko na sisi tufaidi hiyo keki! "Kuwa tajiri kati ya masikini wengi ni dhambi kubwa!"
 
Friends, Ladies and gentlemen,
kua tajiri au maskini ni uamuzi wa mtu binafsi Tanzania 🐒
 
Pita Bagamoyo roads (old na hii ya sasa) ni hatari.
Majengo yameota kama uyoga.
Mbezi Beach a kwa Zena pamechange sana, Africana, Tegeta, Boko mpaka Mbweni ni kama mvua ya majengo inanyesha.
Wewe ni muongo mnafiki na mzandiki, kuhusu tegeta, Mimi ni mkazi wa tgt, hakuna hiyo mijengo unayosema wewe. Ni jengo moja tu linajengwa la tajiri silawe, litaitwa GM ELEGANCE COMPLEX. Hata kule boko ni vivo hivyo.

Shughuli zangu nafanyia mbezi beach maeneo ya goig, huko mitaani kuanzia jk nyerere, masoko, madongoni, maguruwe, chawuchaba, kwa zuchu, e fm, rungwe, mpk maghorofa ya zamaaaani ya NSSF, kasi ya ujenzi ni ndogo tu,

Kinachofanyika ni Jambo la kwyda tu, mtu kumalizia jengo lake au kufanya marekebisho jengo la zamani
 
Pumbavu
 
Na Kuna Watu hawana pesa hadi wanashindia muhogo mbichi uliopakwa pilipili ya UNGA na chumvi! Kila kukicha afadhali ya jana😭
Sijui ww mwenzetu unazo na za kufurika?
Kama ndio tupe maokoto...
Labda kwenu Kenya hiyo.
 
Mna mazao gani mkuu? Mpo mkoa gani? Tunanunua mahindi,maharage, karanga,ufuta na alizeti kwa bei nzuri sana, nijibu mkuu tufanye biashara.
 
Nakumbuka kipindi Cha awamu ya Tano wakati jamaa amepunguza sana matumiz yasiokuwa na ulazima ya serikali hasa zile sitting allowances na per diems, pamoja na kuziba mianya yote ya ubadhirifu, Kuna watumishi wengi sana wa Almshauri walikuwa wanaacha kazi kwa hiyari yao wenyewe.

Ulikuwa ukiwauliza shida ni nini hasa mpaka wanaamua kuacha kazi wakati mtaani kugumu? Wanakwambia Sasa hivi serikali hakuna hela, Magufuli ameharibu Kila kitu, watu wanaishi kwa kusubiri mishaara tu.

So unaweza ukaona tuna taifa lenye watu wa aina gani, yaani watu wanaona kuiba/kufanya ubadhirifu ni haki yao ya msingi kabisa
 
Kashfa za nini ndugu?

Pale Namanga kuna jengo jipya, pembeni ya Kibo Complex Kuna jengo jipya, Kwa ndevu Kuna maghorofa mawili mapya, hata pale karibu na darajani (kwa ndevu) Kuna frem kadhaa mpya.
Kwa mbele kidogo Shoppers plaza imezinduliwa karibu na JKT, Mbuyuni karibu na Hopac Kuna ngoma inajengwa pale, Africana square imekamilika na mkabala wake karibu na NMB kuna jengo jipya linashushwa.
Haya ni ambayo nimeyakumbuka chapchap
Hapo sijakushusha barabara ya Jangwani kuelekea kwa Zena.

Huna ujualo kuhusu Mbezi Beach, usitukashifu wenyeji kumanyoko wewe!
 
eti kaharibu Kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…