Sasa hivi kupita mkesha/sikukuu bila ngumi imekuwa kawaida sana kitu ambacho miaka hiyo ilikuwa ni Nadra mno

Kabisa mkuu wala haipingwi.....Yaani kushudia mtu katolewa ngeo ilikuwa sio ajabu kabisa huko masokoni/minadani ni ngumi tu yaani hakuna solution bila watu kuzichapa.
 
DJ alikuwa ana force wa aweke wimbo huo wimbo ukikosekana kama sio mbabe huyo DJ ndo mwisho wa disco atapigwa achakae au akimbie mazima
 
Unaweza kuta mtu amekaa mahali ametulia na simu ukadhani anafanya mambo ya maana kumbe anaandika mambo ya hovyo kama mleta mada.
Dogo kama wewe niwa 2007 haya utayajulia wapi? haya yana watu wake tunajiuliza imekuwaje saivi vanga kama hizi hazipo tena
 
Sahihi kabisa kuna muda ulikuwa unafika una siku kama tatu hujapigwa ama kupigana unajiona haupo sawa kabisa inabidi ukanunue ugomvi kwa namna yoyote ile.Kipindi hicho kila mtu alikuwa na mbio yaani akichomoka mbio huwezi mpata ndo basi tena
 
Ndo maana huwa nasema wazee wakae tu kimya bila kuwasema hovyo vijana wa nyakati hizi. Vijana wa zamani ndo wamerithisha kizazi hiki ujinga mwingi sana. Ingawa wanasemwa sana ila vijana wa leo wana akili nyingi kuliko wa zamani.
Sasa mkuu tungeishije unadhani? kwenda shule unatembea km7 ama zaidi kwenda na kurudi 14kila siku una muda mwingine njia za pori ubabe ulikuwa unasaidia pakubwa mno
 
wengi wa waalimu mbio zilikuwa zinawasaidia sana kipindi hicho.

Kuna jamaa alipigana na mlinzi wa shule akafukuzwa shule baada ya siku3 akaja kudai ada zake muda kamfungia ticha ofisini mbona alimsamehe hadi jamaa akaacha mwenyew tu
 
Mambo yalikuwa [emoji91] [emoji91]


Kwa kweli hata sisi mambo ya kupigana tumeyakuta yakiwa bado moto, yameeanza kupungua miaka ya 2005 kwenda juu, now no ngumi just peace and love[emoji1][emoji1]
uko sawa kengele ya saa4 mapumziko hiyo nusu saa haiwezi isha bila ngumi ni kila siku iendayo kwa mungu lazima ngumi kupelekana kwa mwalimu hadi umpige mtoto wa mwalimu
 
Siku hizi boys are becoming girlish.
Wavulana wanalelewa kikikekike sana. Homones za kiume zinaishia kabisa!!vitoto vya kiume vinaitwa Junior
 
Ajabu sana.....ZAMANI ILE ASUBHI ASUBUHI WAKATI WA MCHAKA MCHAKA LAZIMA KIRANJA HATA MMOJA APIGWE. Halafu ili uwe kiranja ubabe ilikuwa sifa ya kwanza
 
Siku hizi boys are becoming girlish.
Wavulana wanalelewa kikikekike sana. Homones za kiume zinaishia kabisa!!vitoto vya kiume vinaitwa Junior
Kabisa hadi wanatia huruma sasa hivi hata vujana wa kurina asali hawapo kabisa hadi wavae ppe zake ajabu
 
Kipindi cha mwaka mpya bila kumpiga mtu na yai viza au kugonga mageti ya watu kama ngoma roho inakosa raha kabisa
Umenikumbusha tulikuwa kwenye mkesha wa mwaka mpya mara hali ya hewa ikabadirika ghafla tulivumilia lakini tukashindwa paroko akaagiza aliye rusha hilo yai akamatwe tumpelekee...mayai visa kumbe yalikuwa mengi bana tulipondwa na hatukurudi kanisani tena
 
Nakumbuka nikiwa mdogo kuna sehemu nilienda kucheza,sasa jamaa wakanichonganisha na jamaa flani

Aisee nilimchapa,baada ya washkaji kuona nimemchapa mwenzao c wakaniungia tela,mda huo sina kampani nipo peke yangu

Na mda huo kufika home ni kama km 3 aisee niliokolewa na miguu yangu

Nilitoka speed SGR cha mtoto
 
Kipindo hicho kila mtu alikuwa mwanariadha ukibahatika kuchomoka ni kama upepo watakuwa wanao shati tu unatokomea
 
Hahhahahahahahaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…