Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
kususa ni kurahisisha njia ya kugeuza hilo unaloliita tawi kuwa chama kikuu cha upinzani.Kuna Tofauti kubwa sana Kati ya vyama vya upinzani na matawi ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kususa ni kurahisisha njia ya kugeuza hilo unaloliita tawi kuwa chama kikuu cha upinzani.Kuna Tofauti kubwa sana Kati ya vyama vya upinzani na matawi ya CCM
Itakuwa ngumu wakifanya hivyo! Na ruzuku wamuachie Nani?Ila upinzani mngewaachia hao CCM wagombee wenyewe washinde wenyewe. Nyie muwe watazamaji tuu maana hata iweje watapita wao iwe kwa haki au dhuluma.
Labda ashinde njaaKama ikiwa hivyo sioni nafasi ya Yericko kushinda kiny’ang’anyiro hicho.
Yule ameshajinyonga mwenyeweHahahaaaa......!
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!
Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Mteja wake wa nini?Makonda atashinda Jimbo lolote atakalogombea hata ingekua kongwa kwasababu mteja wake ndiye raisi,ndiye amiri jeshi ,ndiye tume ya uchaguzi na ndiye mahakama
Mara hii ata-forge jina lipi baada ya Makonda ili agombee ubunge??
Kwani Yericko ni Nyerere?!Itabidi mahakama ifafanue Nani Ni Bashite na Nani Ni Makonda....
Ubunge ndio njia ya Makonda kupata uwaziri lkn awe makini... Anaweza kupotea kabisa ktk siasa...
Atakuwa Spika wa bunge!Tumekuskia mtoa taarifa za Makonda, so mwezi wa 11 anakuwa waziri wa nn ?
Safari hii watamwamini tu sababu hamna namna!Bahati mbaya kwa Yericko hata Chadema wenyewe hawamwamini!