Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri ubunge Kigamboni itakuwa Makonda (CCM) vs Yericko Nyerere (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri ubunge Kigamboni itakuwa Makonda (CCM) vs Yericko Nyerere (CHADEMA)

Ila upinzani mngewaachia hao CCM wagombee wenyewe washinde wenyewe. Nyie muwe watazamaji tuu maana hata iweje watapita wao iwe kwa haki au dhuluma.
Itakuwa ngumu wakifanya hivyo! Na ruzuku wamuachie Nani?
 
Yerrico Nyerere ndiye mrithi wa Kingunge Ngombale mwilu wa sasa kwani ndiye mwanasiasa pekee anaye jipambanua kuwa ni Mpagani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.

Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.

Maendeleo hayana vyama


Mara hii ata-forge jina lipi baada ya Makonda ili agombee ubunge??
 
Mara hii ata-forge jina lipi baada ya Makonda ili agombee ubunge??

Itabidi mahakama ifafanue Nani Ni Bashite na Nani Ni Makonda....

Ubunge ndio njia ya Makonda kupata uwaziri lkn awe makini... Anaweza kupotea kabisa ktk siasa...
 
Katika uchaguzi wowote ulio HURU na HAKI hakuna mgombea yeyote wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayeweza kushinda fairly katika ngazi zote kubwa i.e U-Rais na Ubunge wa jimbo lolote...!!

Huu ndiyo ukweli mchungu wanaopaswa kuujua wana CCM na mashabiki wao...

Na ikitokea wamebahatika kupata KURA chache, then, wanaweza kuambulia majimbo yasiyozidi 10 Tanzania nzima....!!
 
1590084478234.png

Zama hizi huko kwao, zama kama hizi huku kwetu!!
 
Back
Top Bottom