Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri ubunge Kigamboni itakuwa Makonda (CCM) vs Yericko Nyerere (CHADEMA)

Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri ubunge Kigamboni itakuwa Makonda (CCM) vs Yericko Nyerere (CHADEMA)

Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.

Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.

Maendeleo hayana vyama
Makonda hawezi kuongoza hata familia, matamko yake 18 mpaka sasa hakuna hata moja limewahi kutekelezeka, Yericko wlau anatosha
 
Toa sababu

In God we Trust
Mkuu,kusoma hujui hata picha nayo huoni?!
Usiweke hisia na uchama, Makonda ni mtu aliyejipambanua vyema katika nyanja ya siasa licha ya mapungufu yake kadha wa kadha..!
Na ana uthubutu kuliko walio wengi..!
 
Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.

Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.

Maendeleo hayana vyama
Bora aendelee kuuza vitabu hela yake italiwa bure. Yaani hapo ni sawa na guta lishindane mbio na toyo
 
Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.

Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.

Maendeleo hayana vyama
Kama ndio hivi Chadema watapata wabunge wangapi nje ya mkoa wa kilimanjaro?
 
Huyo makonda hakuna mtu wa anampa kura - kwanza kafanya nini cha mno hadi azawadiwe ubunge na wana kigamboni? akagombee kwao ubashiteni huku hatumtaki atuache na shida zetu.
 
Yani Makonda wanamuweka na Yeriko kweli ... Alafu akishinda mseme ameiba kura ... wana Dar es salaam wangapi wanamfahamu Yeriko Nyerere ... That will not be a war... it’s massacre
 
Back
Top Bottom