Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jibu swali
In God we Trust
CCM ni chama kikubwa........hapo Ufipa ndio mmemilikishana vyeo!
In God we Trust
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni chama kikubwa........hapo Ufipa ndio mmemilikishana vyeo!
Mjukuu wa baba wa taifa!
Yeriko atashinda kama kura zitapigwa mtandaoni huwa nashinda sana kigamboni siku za wkend pamoja na washabiki wa chadema sijawahi kusikia hata wakimzungumzia kwa kifupi Hana ushawishi wowoteKuna Tofauti kubwa sana Kati ya vyama vya upinzani na matawi ya CCM
Sasa humtaki?Kashfa na kufuru
In God we Trust
Umeandika makandeIkiwepo Free and fair election Yericko ndo atakuwa most voters Tz
Makonda hawezi kuongoza hata familia, matamko yake 18 mpaka sasa hakuna hata moja limewahi kutekelezeka, Yericko wlau anatoshaBila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Umeandika makande
Mkuu,kusoma hujui hata picha nayo huoni?!Toa sababu
In God we Trust
Bora aendelee kuuza vitabu hela yake italiwa bure. Yaani hapo ni sawa na guta lishindane mbio na toyoBila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Hamna mbunge wa chadema mwenye ubavu wa kupambana na makonda mbele ya wananchi. Hamna!Ikiwepo Free and fair election Yericko ndo atakuwa most voters Tz
Hamna mbunge wa chadema mwenye ubavu wa kupambana na makonda mbele ya wananchi. Hamna!
Bwashee hata Tundu Lisu?Hamna mbunge wa chadema mwenye ubavu wa kupambana na makonda mbele ya wananchi. Hamna!
Kama ndio hivi Chadema watapata wabunge wangapi nje ya mkoa wa kilimanjaro?Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Hata Kilimanjaro hawapati mbunge hata mmoja...... Tumaini lao ni Prof Jay pekee kama hataenda CCM!Kama ndio hivi Chadema watapata wabunge wangapi nje ya mkoa wa kilimanjaro?
Mkuu,kusoma hujui hata picha nayo huoni?!
Usiweke hisia na uchama, Makonda ni mtu aliyejipambanua vyema katika nyanja ya siasa licha ya mapungufu yake kadha wa kadha..!
Na ana uthubutu kuliko walio wengi..!
Hamna mbunge wa chadema mwenye ubavu wa kupambana na makonda mbele ya wananchi. Hamna!
Umesema Rais ni mteja wa Makonda?!? Makonda anamuuzia nini?Makonda atashinda Jimbo lolote atakalogombea hata ingekua kongwa kwasababu mteja wake ndiye raisi,ndiye amiri jeshi ,ndiye tume ya uchaguzi na ndiye mahakama