NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
makonda anashindana na akina pompeo na anashinda ndo ije kuwa huyo nani sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kusema CCM wameshahesabu kura tayali na wamekaa nazo Lumumba?Kama ikiwa hivyo sioni nafasi ya Yericko kushinda kiny’ang’anyiro hicho.
Hapana, naangalia ushawishi wa hao wagombea wawili na mwingine ana faida zaidi ya kuwa kwenye ‘Chama dola’Unataka kusema CCM wameshahesabu kura tayali na wamekaa nazo Lumumba?
Yani yericko nyerere leo kawa mwandishi nguli yani ule uandishi was DJ mark au lufufu mkandala kawa mwandishi nguliBila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Mara mia uweke Yericko ambaye huenda atashindwa kuliko kuweka reject kutoka CCM ambaye ana uhakika wa kushinda
Ila upinzani mngewaachia hao CCM wagombee wenyewe washinde wenyewe. Nyie muwe watazamaji tuu maana hata iweje watapita wao iwe kwa haki au dhuluma.
Kwani Ndungulile mmesha mfukuza hata uanachama?Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge.
Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za ujasusi duniani.
Maendeleo hayana vyama
Kama ikiwa hivyo sioni nafasi ya Yericko kushinda kiny’ang’anyiro hicho.
Makonda alishajitengenezea mazingira, hivyo ni dhahiri ashakuwa mbunge+
Nimekuelewa bwashee!Mara mia uweke Yericko ambaye huenda atashindwa kuliko kuweka reject kutoka CCM ambaye ana uhakika wa kushinda
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ni chama kikubwa........hapo Ufipa ndio mmemilikishana vyeo!Kwani Ndungulile mmesha mfukuza hata uanachama?
In God we Trust
Mjukuu wa baba wa taifa!makonda anashindana na akina pompeo na anashinda ndo ije kuwa huyo nani sijui
Sent using Jamii Forums mobile app