Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Aminaaaa
 
Hivi kwa akili yako unahisi mchungaji ni nani, Yesu ama? Yesu mwenyewe alikuwa na demu (Maria Madgalena), sasa iweje wewe unashangaa kwa mchungaji kutaka kuliwa ama kula? Wale ni binadamu tu kama wewe, hawana issue yeyote na usikute wewe ndiyo uko kamilifu shinda wao kutokana na matendo yao wayafanyao nyuma ya pazia huku wakijificha kwa mgongo wa dini. Never trust a human being anayetumia dini as kigezo cha kuwa mwema.
 
Kooooote sawa ila kusema yesu alikua na demu si sawa
 

He! Mtumie nauli bwana we! Ili ule nyapu ya mchungaji
Code:
 
Mwanamke anahitaji mapenzi zaidi kuliko hata hayo maombezi anayopewa.

U-handsome, kuwa na pesa nyingi, haimfanyi mwanamke asi-cheat maana hajaja kwako kutizama tv.
 
Achana na wake za watu Boya wewe ... Usije kuta unachat na mchungaji mwenyewe hapo ...
 
Mwanamke anahitaji mapenzi zaidi kuliko hata hayo maombezi anayopewa.

U-handsome, kuwa na pesa nyingi, haimfanyi mwanamke asi-cheat maana hajaja kwako kutizama tv.
Mbona mkipata mnachotaka mnahangaika na wenye pesa sasa
 
Mkuu kula mzigo acha kulialia. Kama umemshindwa toa connection. Watu hatutaki mbambamba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…