Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Mbona mapadre tuko nao mtaani na wamezaa acha hizo
 
Shika ulichonacho bwana asema
 
Yaani utume nauli ya daladala kutoka dar kwenda dar? kamba izi
 
Mpelekee moto tu huenda ukaokoa jahazi la ndoa yake.

Hapo ndani kwake kuna fukuto, na wewe unaweza kumtuliza na akalea watoto wake.

Hili ni moja ya sababu ya malaya na wahuni kuwepo. Wanaokoa ndoa za watu na kubalance pale palipopungua.

Mtanipinga ila haya hufanyika kwenye jamii kisirisiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…