Mama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo
Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?
Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo
Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri
Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi
TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app