Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Rais anasimama na kulopoka tu ajira zipo lakini hazitaji kwasababu yeye anapewa kila kitu bure kupitia kodi za wananchi na bado mshahara anapata juu. Hanunui mafuta ya gari, halipi dereva, halipi kodi ya nyumba, hanunui vocha , hanunui mavazi. Halafu analeta maneno rahisi tu.
 
Mama ashapima upepo anajua vijana hawamkubali kabisaa kaona awatukane kihvyo

Vijana wametafuta fursa za biashara ndogondogo kwa jasho na damu lakn ameamua kuwafukuza wasionekane waende porin wakauzie biashara zao huko atanunua Nani?

Kijana akiamua kufanya kilimo Leo mfuko wa mbolea tsh 102000/= serikali baitoi ruzuku hata kidogo

Kijana huyo huyo akiamua kulima kiugumu Bado serikal inambana Bei ya mazao ndogo inamzuia kuuza nje kwenye Bei nzuri

Kiukwel huyu mzanzibar ameota pembe kabisa maneno yake ya siku hiz mbili n shida Sana anachamba na si kutoa matumaini kwa wananchi

TUMEBUGI SANA KUMPA MADARAKA HUYU MZANZIBAR

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Magufuli c alikuwa dikteta na mama anaupiga mwingi,.. haya twendeni tu na asiye dikteta
 
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Ulijinadi kuwa umesoma chuo bora Tanzania, sasa unashindwaje kuziona fursa kedekede zilizopo Tanzania.
Kwa andiko lako hili basi hujapata elimu BORA bali umepata BORA elimu huko chuoni kwenu St...
Kwa mtu alie elimika sawasawa Tz kuna fursa nyingi sana wala hazijajificha.
Hakafu raisi SSH hakuzungumzia wazanzibar bali vijana wa Tanzania ba hata lile kongamane lilikuwa na vihana wa Tanzania sio wazabzibar pekee.
Gentamycine jifunze kufanya critical analysis usiwe unakurupukia habari, umeishajitangaza kuwa wewe ni msomi wa chuo bora hivyo tunatarajia tuone ubora katika uchambuzi wa mambo.
Naunga mkono kauli ya raisi kuwa TZ kuna fursa nyingi na maraisi wote wamewahi sema hivyo hivyo.Kama vijana mnasubiri muwekewe pesa mfukoni mtasubiri sana.
 
Back
Top Bottom