Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,496
- 7,162
Bahati nzuri ...tukija kwenye uhalisia..
Na yeye ni wa huko huko pamoja na huyu mwenzie...
Yaani wote ni wa huku huku ..mrima..
Sasa sijui ndio mtajua Kama hamjui au ndio hamjui Kama hamjui ..au mnajua Kama hamjui...
Mwisho wa maji ni tope wakuu...
Uvumilivu na subra ni muhimu kwa sasa..
Maana jiwe mlimwona shetani ..sasa huyu mnaanza kumuona ni Jini ...wakati ndio Kwanza kaja ki roboti roboti....
Rimoti ipo huku bara...
Hangaya sio schwaziniga..lkn ananesa Kama Jeti-lii...
Na yeye ni wa huko huko pamoja na huyu mwenzie...
Yaani wote ni wa huku huku ..mrima..
Sasa sijui ndio mtajua Kama hamjui au ndio hamjui Kama hamjui ..au mnajua Kama hamjui...
Mwisho wa maji ni tope wakuu...
Uvumilivu na subra ni muhimu kwa sasa..
Maana jiwe mlimwona shetani ..sasa huyu mnaanza kumuona ni Jini ...wakati ndio Kwanza kaja ki roboti roboti....
Rimoti ipo huku bara...
Hangaya sio schwaziniga..lkn ananesa Kama Jeti-lii...