Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

Sasa nimeamini kuwa akutukanae hakuchagulii Tusi, Asante sana Rais Samia....!!!

" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Da huenda ni kweli ajira zipo ila kosa lake hajazitaja ni zipi... I'm sorry chief Hangaya wewe ni kilaza
 
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.

Makamu wa rais angelikuwa kassim na hapo hapo kukaimu nafasi ya marehemu na kuwa rais wa JMT ucngethubutu kusema "Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo"
 
Mnamsingizia

Kuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.

Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.

Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
 
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
alie shiba amjuh mwenye njaaa
 
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia

Chanzo: EastAfricaTv

Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.

Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.

Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.

Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Unahangaika sana wewe Sukuma gang..

Kwa Takwimu kama hizi unadhani Kazi hazipo? Uliza mafundi

Screenshot_20220107-173944.png


Screenshot_20220107-064427.png


Screenshot_20220107-064718.png


Screenshot_20220106-133344.png


Screenshot_20220105-210157.png


Screenshot_20220102-155444.png


Screenshot_20220102-155425.png


Screenshot_20220102-155026.png
 
Kuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.

Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.

Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20
Maana ni msomi angestudy hyo industry, akope mahali etc
 
Kuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.

Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.

Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!

Ndiyo tatizo la wabongo,,,,ukishajiona umesoma unaona aibu kufanya mishe zingine,,,miaka yote iyo unasubiri uvishwe suti na tai+mokaz!!!!! Eti natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda 😁 acheni kuchaguwa kaxi,,,,,hata kusafisha vyoo piga tuu mzehe.
 
Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20
Maana ni msomi angestudy hyo industry, akope mahali etc

Mwenyewe nimestaajabu dada. Miaka yote iyo anasubiri avishwe suti and tai + mokaz akawe m2 wa ofisini,,,kwa staili iyo watasubili sana.
 
Back
Top Bottom