wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Ndungai alisema hivyo hivyo mkakataa 😄😄Watu wanachukua sehemu ya sentesi na neno wanalotaka wao kusikia ili wachocheee kuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndungai alisema hivyo hivyo mkakataa 😄😄Watu wanachukua sehemu ya sentesi na neno wanalotaka wao kusikia ili wachocheee kuni
Mkuu wapi aseee.... tukapulize kwanza.. achana na habari za kina ndugai.. tupambanie makombe yetuNdungai alisema hivyo hivyo mkakataa 😄😄
Da huenda ni kweli ajira zipo ila kosa lake hajazitaja ni zipi... I'm sorry chief Hangaya wewe ni kilaza" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Mama watoto Miss Natafuta, tangu ulipo ondoka pasaka ya mwaka jana kwenda mkeshani, ndio unarudi leo?!?!?! Au ulimezwa na samaki?Happy new year baba watoto
" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Mnamsingizia
Unakuja room sweetie? Ujue Nina mambo mengiMakubwa leo naitwa Baby wangu tena?
Haya sasa,mpira huo umejileta wenyewe mwamba😂😂😂
Ova
alie shiba amjuh mwenye njaaa" Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
What they don't know is that,the President is here to stay.yaan bado yupoyupo saaana so wakae kwa kutulia.Makamu wa rais angelikuwa kassim na hapo hapo kukaimu nafasi ya marehemu na kuwa rais wa JMT ucngethubutu kusema "Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo"
kweli ww faraMama yupo sahihi kabisa,
Unahangaika sana wewe Sukuma gang.." Vijana wengi tukimaliza kusoma tunasubiri ajira, lakini hatuhangaiki kutafuta fursa za kazi, kazi ziko nyingi sana Tanzania, ni vijana kuchakarika kuziona hizo fursa na kuanza kuzitumia,"- Rais
@SuluhuSamia
Chanzo: EastAfricaTv
Natamani mno kujua Wahenga waliposema kuwa aliyeshiba huwa hamjui mwenye Njaa waliona au walimaanisha nini labda.
Nimeamini Wazanzibari wanajua sana Kutukana Watu 'Kirejareja' na bila shaka Wazanzibari wote ( wa Unguja na Pemba ) wana Ajira ( Kazi ) na wale tusio na Kazi ( Ajira ) ni Sisi Wazanzibara ( tutokao huku Tanzania Bara ) pekee.
Sijui ni kwanini GENTAMYCINE natamani sana Katiba Mpya ipatikane Tanzania na Kipengele cha Makamu wa Rais kisiwepo bali kiwe tu cha Rais na kwamba ikitokea Rais amekufa basi ama Uchaguzi Mkuu ufanyike au Waziri Mkuu apande haraka kuwa Rais na kamwe siyo Makamu wa Rais aje kuwa Rais.
Tanzania inahitaji mno Critical Thinkers.
Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20Kuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.
Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.
Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Kuna graduate Ana watoto 3 namfaham, Ana advanced diploma in accounting, Na other course, alipoteza Ajira baada ya kampuni alipokuwa anafanya Kazi kufilisika.
Kapambana Kwa miaka 3 toka 2017, akaniambia brother, mambo magumu, pita pita kumwangalia shemeji yako, natafuta boda Boda mahali ambapo sifahamiki nikawe Boda Boda.
Kwa kweli laiti angalijua Hakuna fursa bila mahangaiko mengi Sana Na kujali asingethubutu kutukana wadau wanaohangaika!
Kwani akiendesha bodaboda mtaani kwake kuna shida gani.tatizo la vijana was tz ndo hilo .angeanza na boda moja .who knows in 2 yrs time angekuwa na boda 20
Maana ni msomi angestudy hyo industry, akope mahali etc